Harrison Kamau akifanya mahojiano na mwanamitindo Neema Olory
Your browser doesn’t support HTML5
Kwenye maswala ya burudani tunae mmoja wa warembo watakaoshiriki kwenye mashindano ya urembo yaliofadhiliwa na Umoja wa Afrika hapa mjni Washington DC mwishoni ma wiki, Neema Olary mwenye asili ya Tanzania.