Wabunge waliondolewa baada kukataa kusimama Mnangangwa akingia bungeni
Your browser doesn’t support HTML5
Tukielekea huko Zimbabwe, Alhamisi polisi na maafisa wa usalama wa bunge waliwaondoa bungeni wabunge wa upinzani baada ya kukataa kusimama wakati rais Emerson Mnangangwa alipokuwa anaingia bungeni.