Trump asema atasaini amri ya kiutendaji wiki ijayo
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba utawala wake uko katika hatua za mwisho mwisho za mipango ya kuwataka wahamiaji wanaotafuta hifadhi hapa Marekani, kufanya hivyo kwa kupitia kituo maalum.