Viongozi wa Afrika wakutana na Angela Merkel
Your browser doesn’t support HTML5
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amehimiza kuzingatia uwezo mkubwa wa kiuchumi iliopo bara la Afrika , na kuamini ukuaji uchumi katika bara hilo kutasaidia kupungua kwa uhamiaji haramu katika bara la Ulaya.