Duniani Leo October 10, 2018

Your browser doesn’t support HTML5

Zaidi ya watu 50 wamefariki nchini Kenya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali kwenye barabara kuu ya kutoka mjini Nairobi kuelekea Kisumu. Kujiuzuru kwa balozi wa marekani kwenye umoja wa mataifa Nikki Haley mwishoni mwa wiki kwazua gumzo nchini Marekani.