Jair Bolsonaro apata ushindi Brazil
Your browser doesn’t support HTML5
Mgombea kiti cha urais wa mrengo mkali wa kulia nchini Brazil , Jair Bolsonaro amepata ushindi wa silimia 46 ambao haukutarajiwa , ila hukupata kura za kutosha kushinda moja kwa moja katika uchaguzi wa rais Jumapili.