Imebaki wiki tano kabla ya wamarekani kupiga kura katika uchaguzi wa kati kati ya mhula

Your browser doesn’t support HTML5

Imebaki wiki tano kabla ya wamarekani kupiga kura katika uchaguzi wa kati kati ya mhula ili kuchagua baraza jipya la wawakilishi, na theluthi moja ya baraza la senate pamoja na uchaguzi wa serikali za majimbo na mitaa.