Palestina kutokubaliana na wanachokiita uonevu wa utawala wa Trump
Your browser doesn’t support HTML5
Maafisa wa Palestina wameapa kwamba hawatakubali kwamwe kukubaliana na kile walichokieleza ni mbinu za uoevu za utawala wa Trump baada ya kuarifiwa jaa kwamba ofisi yao mjini Washington itafungwa