Nchini DRC, zaidi ya vijana 10 wa Lucha, wamekamatwa na polisi
Your browser doesn’t support HTML5
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, zaidi ya vijana 10 wa Lucha, wamekamatwa na polisi kufuatia maaandamano ya kupinga matumizi ya tarakilishi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba.