Serekali ya Senegal kujenga mji mwingine mkubwa ili kupunguza msongamano mjini Dakar
Your browser doesn’t support HTML5
Mji mkuu wa Senegal, Dakar umekua na msongamano mkubwa wa watu, jambo ambalo limeipelekea serekali kujenga mji mwingine mkubwa ili kupunguza msongamano huo