Rais wa Eritrea na waziri mku wa Ethiopia wametoa wito wa kuwepo upendo na umoja kwa wananchi wao

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Eritrea Isaias Afwerki na waziri mku wa ethopia Abiy Ahmed, wametoa wito wa kuwepo upendo na umoja kwa wananchi wa mataifa hayo mawili wakati kiongozi wa Eritrea akifanya ziara yake ya kwanza rasmi mjini Addis Ababba, baada ya miaka 22.