Rais wa Marekani Donald Trump amesema nchi wanachama wa NATO zimekubaliana kwa haraka

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Marekani Donald Trump amesema nchi wanachama wa NATO zimekubaliana kwa haraka. Alisema hayo leo mwishoni mwa mkutano wa siku mbili katika makao makuu ya NATO huko mjini Brussels, Ubelgiji