Wanaharakati Kenya washinikiza serikali kukomesha mauaji ya kiholela
Your browser doesn’t support HTML5
Wanaharakati mjini Nairobi, Kenya, wanashinikiza serikali kukomesha mauaji ya kiholela yanayodaiwa kutekelezwa na idara ya usalama. Wanaharakati hao walifanya mkutano kama sehemu yakuiadhimisha siku ya sabasaba.