Waasi 15 wa kundi la ADF wameuwawa na jeshi la Congo, DRC (FARDC) katika misitu ya Beni
Your browser doesn’t support HTML5
Waasi 15 wa kundi la ADF wameuwawa na jeshi la Congo, DRC (FARDC) katika misitu ya Beni wakati wa mapigano makali yalioyo chukuwa siku mbili katika barabara ya Mbau Kamango