Upigaji kuwa wa Diaspora katika uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka huu

Your browser doesn’t support HTML5

Wiki hii katika Washington Bureau Mary Mgawe anaangalia uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka huu ambao kwa mara ya kwanza umewashirikisha wakenya waishio nje ya Kenya maarufu kama Diaspora. Pia vile vile Washington Bureau imemulika maisha ya mhamiaji Hashimi kutoka Afghanistan