Mgombea urais wa Kenya Ekuru Aukot akimwaga cheche zake kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu
Your browser doesn’t support HTML5
Ekuru anasema Jubilee na NASA ni wafisadi na anawataja kama farasi walio na majeraha huku akisema yeye ni ngamia na atawashinda licha kuwa na mwendo wa pole.Ekuru anatoka jamii ndogo ya Turkana.