Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji azungumza na Abdushakur Aboud
Your browser doesn’t support HTML5
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji akiwa katika ziara ya kikazi Marekani alitembelea Sauti ya Amerika na kuzungumza na Abdushakur Aboud juu ya mazungumzo yake na wakuu wa Marekani.