Mzozo wa kisiasa Brazil
Your browser doesn’t support HTML5
Kamati ya kufungulia viongozi mashtaka katika baraza kuu la bunge la Brazil limepitisha hoja ya kumfunguliwa mashtaka Rais Dlima Rousseff kwa tuhuma za kukiuka sheria za bajeti ili kujipendelea katika uchaguzi wake wa awamu ya pili 2014.