Uturuki Yaomboleza Mauwaji ya Ankara

Your browser doesn’t support HTML5

Wananchi wameandamana huko Uturuki Jumapili kudai amani pamoja na kuitaka serikali kuimarisha usalama na kuacha vita, kufuatia mashambulizi mabaya ya kigaidi katika historia ya nchi hiyo Jumamosi.