Ugumu wa Maisha TZ Voa Mitaani
Your browser doesn’t support HTML5
Mashirika ya fedha ya kimataifa na serikali ya Tanzania zinaeleza kwamba uchumi wa nchi hiyo umeendelea kukuwa kwa asili mia 7. Lakini jee wananchi wanafaidika kutokana na ukuwaji huo? Hilo ni suala lililoulizwa baadhi ya raia wa Dar es Salaam.