Viongozi wa BRICS waimarisha ushirikiano wao Durban
Your browser doesn’t support HTML5
Vio ngozi wa Jumuiya ya BRICS wakamilisha mkutano wa viongozi mjini Durban kwa kuimarisha ushirikano na uhusiano kati yao lakini hawakukubaliana juu ya kuanzisha benki yao ya maendeleo