Zanzibar sensa VOA Mitaani
Your browser doesn’t support HTML5
Baadhi ya taasisiza kiislam Tanzania zimeendelea kushikilia msimamo wao wa kutoshiriki katika sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika mwaka huu iwapo tu kipengeleecha dini hakitarudishwa kwenye dodoso la sensa.