Maelfu ya waumini wa kanisa katoliki wakiandamana na watu wa tabaka mbalimbali walikusanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha Nairobi huko nchini Kenya siku ya Alhamisi hili kumuona na kumsikiliza kiongozi wa Kanisa la Katoliki duniani, Papa Francis, akiongoza misa yake ya kwanza barani Afrika.