Baadhi ya wanawake wanafariki dunia kutokana na kitendo hicho.
Wizara ya Afya ya Sierra Leone imesema wote walioachiliwa kutoka kwa karantini wametajwa na Shirika la Afya Ulimwenguni WHO ni wale ambao hawana ugonjwa huo tena.
Mamlaka za Afya nchini humo zinasema ugonjwa huo umeathiri wakaazi wengi katika wilaya tatu zinazozingira ziwa Malawi.
James Mbatia asema urais,ubunge ,uwakilishi au udiwani ni utumishi wa umma ni jambo la kujitoa mtu binafsi kwa ajili ya kutumikia wanyonge.
Utafiti huo ulifanywa kwa ushirikiano wa shirika la afya duniani WHO na chuo kimoja cha London cha Imperial College London.
Rais wa Sioerra leone atoa wito kwa wananchi wake kutowaficha wagonjwa wa Ebola.
Mawaziri wa mambo ya nje wa ulaya wanajadili kwa kina kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoweza kuuwa kwa haraka.
ugonjwa huo wa Ebola umekuwa tishio kwa nchi za Afrika siyo tu zile ambazo tayari zimeathiriwa lakini pia zile zilizo jirani na kwenye mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
Pandisha zaidi