Idara ya ulinzi wa makombora ya Marekani ilieleza kombora aina ya Arrow-3 lina uwezo wa kufika umbali mkubwa. Wakati huo huo Waziri Mkuu wa israel, Benjamin Netanyahu alisema "Maadui zetu wafahamu kwamba tunaweza kukabiliana nao kwa njia zote za ulinzi na mapigano"