Trump amesema Jumamosi kuwa anaridhika na kitendo cha Saudi Arabia kununua vifaa vya kivita vinavyo tengenezwa na Marekani
Ndugai alisema kanuni za katiba ya nchi zinataka mbunge huyo anayewakilisha jimbo la Singida Mashariki kupitia Chadema avuliwe ubunge
“Hiyo ni kunipa wasifu usiolingana na nafasi yangu katika jamii,” alijibu Biden
Kuhusu suala la Iran, Seneta wa jimbo la New Jersey Corey Booker alikuwa mgombea pekee kusema kuwa haungi mkono makubaliano ya nyuklia na Iran na kuiita "uamuzi wenye makosa."
Jaguar, anadaiwa kusema kwamba Wakenya wanastahili kutumia nguvu kuwafurusha raia wa kigeni
Kiongozi wa PLO Hanan Ashrawi amepokea kwa furaha uamuzi huo na utambuzi wa namna yeyote ule wa taifa la Palestina.
Pompeo alizungumza hayo alipowasili kutoka Saudi Arabia na Umoja wa Falme za kiarabu katika juhudi za kujenga umoja wa ushirika wa Marekani.
Shukurani Almasi na Dada yake Mayasa Almas ni miongoni mwa wanawake walionusurika katika matukio ya kikundi cha uhalifu na ubakaji cha Teleza.
Mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yameikumba Amhara na miji mingine miaka ya hivi karibuni.
Tehran imetahadharisha kutakuwa na maafa makubwa ya "kieneo na kimataifa" iwapo Marekani itachukuwa hatua zozote za kijeshi dhidi ya Iran
Katibu Mkuu : "... mpaka sasa hakuna taarifa yeyote iliyothibitishwa ya kuwepo kwa tishio la shambulio ... "
Msemaji wa jeshi la Marekani :"Hakuna ndege ya Marekani iliyokuwa inaruka katika anga la Iran hivi leo."
Pandisha zaidi