Shirika la Afya Duniani, WHO, limeripoti kuchukuwa hatua za haraka kukabiliana na mlipuko wa virusi vya Ebola nchini Uganda, huku hatua za madhubuti zikichukuliwa kuhakikisha kwamba watu wanaoishi kwenye mpaka wa Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanaanza kupokea chanjo dhidi ya Ebola