Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mbunge wa Chadema Tarime Mjini, Ester Matiko wataendelea kukaa rumande hadi rufaa ya kupinga dhamana iliyokatwa na upande wa mashtaka itakapoanza kusikilizwa katika Mahakama ya Rufaa Februari 18, 2019.