Kundi la wabunge wa chama kinachotawala nchini Uganda, NRM, limeanzisha kampeni kupinga uamuzi wa juu wa chama wa kumtangaza rais Yoweri Museveni kuwa mgombea pekee wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2021, na katika chaguzi zote zijazo kwa muda wa miaka 50.