Ijumaa, Machi 21, 2025 Local time: 02:42
Watetezi haki wataka kesi ya marufuku ya wasichana wenye mimba kuendelea na masomo Tanzania isikilizwe
Miaka miwili tangu mashirika ya kutetea haki kuwasilisha hoja mahakamani kupinga marufuku iliyowekwa na Rais Magufuli kuwakataza wasichana waliopata mimba kwendelea na masomo, kesi hiyo bado haijatatuliwa.