Jumatatu, Machi 09, 2026 Local time: 21:06
Wanaharakati waitaka serikali ya Tanzania kuuharakisha mchakato wa Bima kwa Wote
Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto wa Tanzania wanaema kwamba bima ya afya kwa wote itwasaidia sana wafanya kazi wa sekta ya bodaboda na wafanyabiashara ndogondogo.