Ziara ya Rais Obama Kenya
Ukurasa huu maalum unafuatilia ziara ya kwanza ya Rais Barack Obama wa Marekani nchini Kenya, nchi aliyotokea baba yake. Wakati wa ziara hiyo kuanzia Julai 23 hadi 26 Rais Obama atahudhuria mkutano mkuu wa Ujasiriamali Duniani 2015 ambao hukutanisha wajasiriamali na viongozi wa kibiashara, taaisi za kimataifa na serikali kila mwaka kutafuta mbinu za kushirikiana na kukuza uchumi wa dunia.
-
18 Julai 2015
Mfumo wa kamera za usalama kutumika jijini Nairobi.
-
20 Julai 2015
Maandalizi ya Kumpokea Rais Obama Nairobi
-
23 Julai 2015
Africa Obama Mania Photo gallery
-
24 Julai 2015
Rais Obama amewasili Nairobi
-
25 Julai 2015
Rais Obama aitembelea Kenya (1)
Sauti
-
17 Julai 2015
Sauti Kuhusu Ziara ya Obama Afrika
-
21 Julai 2015
Ripoti ya Mwai Gikonyo, Nairobi, Kenya