Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 09:24

Ziara ya Rais Obama Kenya

Ziara ya Obama Kenya, Julai 23-26

Ukurasa huu maalum unafuatilia ziara ya kwanza ya Rais Barack Obama wa Marekani nchini Kenya, nchi aliyotokea baba yake. Wakati wa ziara hiyo kuanzia Julai 23 hadi 26 Rais Obama atahudhuria mkutano mkuu wa Ujasiriamali Duniani 2015 ambao hukutanisha wajasiriamali na viongozi wa kibiashara, taaisi za kimataifa na serikali kila mwaka kutafuta mbinu za kushirikiana na kukuza uchumi wa dunia.

XS
SM
MD
LG