<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Matukio ya Dunia - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/3149</link>
        <description>Matukio ya Dunia </description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Matukio ya Dunia - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/3149</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:29:45 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zy-gtl-vomx-tpetybt" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya</title>
            <description>Wanawake wanaowalea watoto walemavu katika jamii za kipato cha chini wanakabiliwa na changamoto nyingi ambazo zinatatiza uwezo wao wa kushughulikia watoto hao.


Changamoto hizo zinataabisha wanawake kimawazo, na kihisia wanapotengwa na jamii huku matatizo hayo yakiishia kuwadhuru watoto walemavu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8010455.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8010455.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 14 Mar 2025 06:38:34 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/71f9d5d2-aef0-44ab-34d8-08dd5c897904_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani</title>
            <description>Waislamu sehemu mbali mbali duniani wanajitayarisha kuuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kuangalia mwezi, kuanza ibada hadi ununuzi wa bidhaa za kutumia mwezi huu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7992874.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7992874.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 28 Feb 2025 22:48:43 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a4e7b6c8-240f-47ce-04fd-08dd4a817621_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao</title>
            <description>Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amefanya ziara ya saa kadhaa mjini Mogadishu siku ya Alhamisi, kwa lengo la kuimarisha makubaliano dhaifu ya maridhiano kati ya nchi hizo mbili kufuatia ugomvi juu ya ushirikiano wake na jimbo lililojitenga la Somaliland.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7990667.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7990667.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 27 Feb 2025 23:28:01 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/6f6364f8-9d6e-45a0-903c-08dd4a843460_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?</title>
            <description>Raila Odinga mwanasiasa mashuhuri na mzoefu nchini Kenya aliyepania kunyakuwa nafasi ya uongozi wa kiti cha Tume ya Umoja wa Afrika licha ya umaarufu wake na kampeni kali aliyoifanya alishindwa uchaguzi huo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/nini-kilichosababisha-raila-odinga-kushindwa-katika-uchaguzi-wa-au-/7978756.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/nini-kilichosababisha-raila-odinga-kushindwa-katika-uchaguzi-wa-au-/7978756.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 18 Feb 2025 09:17:43 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f8ae2e14-669d-4f8f-fa78-08dd4a817620_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mkurugenzi wa Idara ya Kupambana na Ugaidi aeleza ukubwa wa tishio la jihadi </title>
            <description>Mkurugenzi Mwandamizi wa Idara ya kupambana na ugaidi ya serikali ya Marekani, Sebastian Gorka anasema kuwa tishio la Jihadi duniani limeongezeka sana.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mkurugenzi-wa-idara-ya-kupambana-na-ugaidi-aeleza-ukubwa-wa-tishio-la-jihadi-/7978752.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mkurugenzi-wa-idara-ya-kupambana-na-ugaidi-aeleza-ukubwa-wa-tishio-la-jihadi-/7978752.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 18 Feb 2025 09:11:40 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/52964107-d661-48f4-fa77-08dd4a817620_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC</title>
            <description>Umoja wa Mataifa umesema unafanya juhudi kuhakikisha msaada unawafikia watu waliokoseshwa makazi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na vita vinavyoendelea. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/naibu-katibu-mkuu-aeleza-hatua-za-dharura-zinazochukuliwa-drc/7074714.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/naibu-katibu-mkuu-aeleza-hatua-za-dharura-zinazochukuliwa-drc/7074714.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Feb 2025 16:49:38 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a013c7f8-b5a9-4b05-80fb-08dd4a843460_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Umoja wa Mataifa yaongeza juhudi zake kukabiliana na janga la wakimbizi DRC</title>
            <description>Umoja wa Mataifa umesema umeongeza juhudi zake kukabiliana na janga la wakimbizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na vita vinavyoendelea.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/umoja-wa-mataifa-yaongeza-juhudi-zake-kukabiliana-na-janga-la-wakimbizi-drc/7970633.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/umoja-wa-mataifa-yaongeza-juhudi-zake-kukabiliana-na-janga-la-wakimbizi-drc/7970633.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Feb 2025 16:39:24 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ab0fc3f1-a500-4a95-f43e-08dd4a817620_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Burhan awekewa vikwazo na Marekani </title>
            <description>Wizara ya fedha ya Marekani Alhamisi ilitangaza vikwazo dhidi ya Abdel Fattah al-Burhan, ikilituhumu jeshi lake kwa kushambulia shule masoko na hospitali pamoja na kutumia mtindo wa kuwanyima wananchi chakula kama silaha.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7940982.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7940982.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Jan 2025 23:30:52 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/776b5468-afa9-4b75-b177-3c6b84e42348_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waandishi wa habari Msumbiji wanavyopambana taarifa za uongo</title>
            <description>Msumbiji ambako kuenea taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kunawalazimu waandishi wa habari nchini humo kuwa mstari wa mbele katika kupambana na upotoshaji na taarifa za uongo . </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/waandishi-wa-habari-msumbiji-wanavyopambana-taarifa-za-uongo/7911696.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/waandishi-wa-habari-msumbiji-wanavyopambana-taarifa-za-uongo/7911696.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 24 Dec 2024 00:49:50 +0300</pubDate>
            <category>Mahojiano Maalum: Kukabiliana na Habari Potofu</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/9cf66355-74d3-4564-96c8-8efb40caec69_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ghana yakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara</title>
            <description>Ghana inakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara. Baadhi ya waandishi wa habari wana matumaini ya kukabiliana na hali hiyo kwa kutoa ripoti sahihi.⁣</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ghana-yakabiliwa-na-wimbi-la-taarifa-potofu-zenye-madhara/7911012.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ghana-yakabiliwa-na-wimbi-la-taarifa-potofu-zenye-madhara/7911012.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 23 Dec 2024 15:15:39 +0300</pubDate>
            <category>Mahojiano Maalum: Kukabiliana na Habari Potofu</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/3127af5c-779f-4a5f-b0a6-f2cd429869b6_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Habari Potofu: MISA inawasaidia waandishi Malawi kujenga uaminifu</title>
            <description>Nchini Malawi ambako kuthibitisha habari sahihi kumejaa changamoto, Taasisi ya Vyombo vya Habari ya Kusini mwa Afrika MISA inafanya kazi ili kuboresha usahihi wa kuripoti na kuwasaidia waandishi wa habari kujenga uaminifu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/habari-potofu-misa-inawasaidia-waandishi-malawi-kujenga-uaminifu/7908245.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/habari-potofu-misa-inawasaidia-waandishi-malawi-kujenga-uaminifu/7908245.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 20 Dec 2024 15:05:52 +0300</pubDate>
            <category>Mahojiano Maalum: Kukabiliana na Habari Potofu</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/9322f4f5-be8f-45b1-8eef-ca3bdb7fd9cc_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mwamoyo Hamza aeleza umuhimu wa VOA kuwa mwanachama wa Umoja wa Afrika wa Utangazaji</title>
            <description>Meneja wa Progamu katika Kurugenzi ya Afrika ya Sauti ya Amerika, Mwamoyo Hamza akitoa mawazo yake kuhusu kuhudhuria mkutano mkuu wa 15 wa Umoja wa Utangazaji Afrika unaofanyika Gaborone, Botswana.⁣</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mwamoyo-hamza-aeleza-umuhimu-wa-voa-kuwa-mwanachama-wa-umoja-wa-afrika-wa-utangazaji/7772182.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mwamoyo-hamza-aeleza-umuhimu-wa-voa-kuwa-mwanachama-wa-umoja-wa-afrika-wa-utangazaji/7772182.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 05 Sep 2024 10:09:48 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5b571b0e-ac8d-4fbf-853f-288f8f23e279_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Biden na Trump wajaribu kuwavutia wapiga kura wenye weusi</title>
            <description>June 19 hufahamika hapa Marekani kama Juneteenth,  sikukuu ya kusherekea kumalizika kwa mfumo wa utumwa katika majimbo 13 ya kusini yaliyofahamika kama Confederate States, yaliyopinga kumaliza kwa mfumo huo na kupelekea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe hapa nchini. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7665493.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7665493.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 21 Jun 2024 22:18:31 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-94b6-08dc92255803_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?⁣</title>
            <description>Hapana.⁣
Kazi iko wazi kwa wale wana sifa zilizotajwa katika Katiba ya Marekani.⁣</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-mtu-yeyote-anaweza-kuwa-rais-wa-marekani-/7651154.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-mtu-yeyote-anaweza-kuwa-rais-wa-marekani-/7651154.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Jun 2024 14:31:05 +0300</pubDate>
            <category>Uchaguzi Marekani 2024</category><category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-99d4-08dc8a08f3b3_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Viongozi wa nchi za Afrika na Korea Kusini kuimarisha ushirikiano kati yao</title>
            <description>Rais wa korea kusini Yoon Suk Yeol amesisitiza umuhimu wa jukumu la Afrika katika uzalishaji wa madini na kueleza matumaini ya kuimarisha ushirikiano wa uchimbaji madini na biashara kati yao.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7644357.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7644357.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 05 Jun 2024 23:27:22 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-a39e-08dc859c7b9f_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Athari za Rushwa katika sekta ya miundombinu nchini Malawi</title>
            <description>Barabara mbovu na mashimo ni sehemu ya uzoefu wa madereva mjini licha ya kuwa ni moja ya tishio kwa madereva, hali mbaya ya barabara inawakilisha moja ya vikwazo vikubwa vya uchumi nchini Malawi. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/athari-za-rushwa-katika-sekta-ya-miundombinu-nchini-malawi/7596895.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/athari-za-rushwa-katika-sekta-ya-miundombinu-nchini-malawi/7596895.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 May 2024 19:39:29 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><category>Video</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-df13-08dc6b8f1de3_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je, ni alama zipi zinaifanya Zambia kuwa imeimarika katika kukabiliana na hujuma za ufisadi?</title>
            <description>Ungana na Maurice Nyambe, mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Transparency International Zambia akikuchambulia mafanikio hayomuhimu ambayo serikali ya Zambia imeweza kufikia katika kupambana na ufisadi nchini humo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-ni-alama-zipi-zinaifanya-zambia-kuwa-imeimarika-katika-kukabiliana-na-hujuma-za-ufisadi-/7596637.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-ni-alama-zipi-zinaifanya-zambia-kuwa-imeimarika-katika-kukabiliana-na-hujuma-za-ufisadi-/7596637.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 May 2024 17:24:06 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-121e-08dc6b7b2b51_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi</title>
            <description>Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/asilimia-88-ya-wamarekani-wanaunga-mkono-kuhalalishwa-bhangi/7585187.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/asilimia-88-ya-wamarekani-wanaunga-mkono-kuhalalishwa-bhangi/7585187.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 25 Apr 2024 22:06:58 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><category>Video</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-e573-08dc655a0403_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kagame akubali kukutana na Tshisekedi kuzungumzia mzozo wa mashariki ya DRC</title>
            <description>Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola Tete Antonio amesema Jumatatu kwamba Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na mwenzake wa Jamhiri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazungumzo kuhusu hali ya usalama mkashariki ya Congo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7523081.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7523081.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 11 Mar 2024 22:21:00 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><category>Afrika</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-b2c1-08dc41fee992_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>&apos;Ninaulizwa kila mara juu ya kufikia wadhifa wa Jenerali, sikuwa nimefikiria&apos;</title>
            <description> [[Ni mtoto wa wazazi kutoka  Zimbabwe na Nigeria na hivi leo anahudumu  kama mtunukiwa wa cheo cha  Naibu Jenerali msimamizi katika kituo cha Mafunzo ya Ukadeti huko Fort Knox, Kentucky. Mwandishi wa VOA Grace Oyenubi anatupasha zaidi kuhusu Brigedia Jenerali Amanda Azubuike, kiongozi wa kijeshi.]]</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ninaulizwa-kila-mara-juu-ya-kufikia-wadhifa-wa-jenerali-sikuwa-nimefikiria-/7514084.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ninaulizwa-kila-mara-juu-ya-kufikia-wadhifa-wa-jenerali-sikuwa-nimefikiria-/7514084.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 05 Mar 2024 08:49:54 +0300</pubDate>
            <category>Makala</category><category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-979e-08dc3cd4f1ae_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>