<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Dunia - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/2783</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya&amp;nbsp; Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Dunia - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/2783</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Sat, 18 Apr 2026 11:53:17 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/ztykql-vomx-tpekr-o" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Rais Trump ameitishia Umoja wa Ulaya kwa ushuru wa asilimia 200 kwenye mvinyo</title>
            <description>Rais wa Marekani Donald Trump leo Alhamisi aliitishia Umoja wa Ulaya kwa ushuru wa asilimia 200 kwenye mvinyo, Champagne na aina nyingine ya pombe  zinazotengenezwa katika nchi 27  wanachama wa umoja huo, baada ya EU kuweka ushuru wa asilimia 50 kwa Whiskey ya Marekani. 
Trump aliandika kwenye mtandao wake wa kijamii wa Truth Social kwamba EU ni moja ya mamlaka ya kodi ya chuki na yenye unyanyasaji na ushuru duniani. Alisema iliundwa mwaka 1993 kwa lengo pekee la kutumia fursa ya Marekani...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8009881.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8009881.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 13 Mar 2025 22:07:28 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/d0faf539-cadd-4a04-9923-cb7eda245a71_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>UN yasema hali ya usalama Haiti inazidi kuwa hatari</title>
            <description>Mtaalam wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti, William O’Neil Jumanne ameambia wanahabari mjini New York kwamba hali ya kiusalama nchini humo ni tete huku akisihi wahusika wa kitaifa na kimataifa kuheshimu haki za binadamu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/un-yasema-hali-ya-usalama-haiti-inazidi-kuwa-hatari/8007714.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/un-yasema-hali-ya-usalama-haiti-inazidi-kuwa-hatari/8007714.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 12 Mar 2025 05:40:38 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/feb0e6f7-1a1b-4c9e-a9e8-a68beedaa598_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Basi moja limelipuka na kuua watu wasiopungua 12 nchini Afrika kusini</title>
            <description>Basi hilo lilibeba zaidi ya watu 50 waliokuwa wanakwenda kazini wakati lilipoanguka katika barabara yenye shughuli nyingi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/basi-moja-limelipuka-na-kuua-watu-wasiopungua-12-nchini-afrika-kusini/8007010.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/basi-moja-limelipuka-na-kuua-watu-wasiopungua-12-nchini-afrika-kusini/8007010.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Mar 2025 20:39:07 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/CC092C74-12E8-4B1F-AE34-39C90CA6C145_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia</title>
            <description>Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha  mapigano na Russia. 
Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mashambulizi ya makombora ya masafa marefu na sitisho la mapigano linalohusisha Black Sea. Hata hivyo Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku Ukraine ikiwakilishwa na mkuu wake Andriy Yermak, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine Andrii...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8006734.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8006734.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Mar 2025 17:55:10 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/d85bd800-81ff-4a04-3125-08dd5c897904_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mkuu wa jeshi la Uganda anasema nchi yake imepeleka vikosi Sudan Kusini</title>
            <description>Mivutano kati ya Rais Salva Kiir na Makamu wake wa Kwanza wa Rais Riek Machar ikizusha hofu ya kurejea vita vya wenyewe kwa wenyewe. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mkuu-wa-jeshi-la-uganda-anasema-nchi-yake-imepeleka-vikosi-sudan-kusini/8006709.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mkuu-wa-jeshi-la-uganda-anasema-nchi-yake-imepeleka-vikosi-sudan-kusini/8006709.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Mar 2025 17:35:44 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c4292f71-bd18-4cf9-b863-c157ffb75cc9_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Watu wenye silaha waliivamia hoteli moja nchini Somalia</title>
            <description>Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.  </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/watu-wenye-silaha-waliivamia-hoteli-moja-nchini-somalia/8006665.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/watu-wenye-silaha-waliivamia-hoteli-moja-nchini-somalia/8006665.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 11 Mar 2025 17:10:18 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-5956-08db613f89f5_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maafisa wa Russia na Ukraine wameripoti mapigano mkoa wa Sumy nchini Ukraine</title>
            <description>Sumy iko katika mpaka kutoka mkoa wa Kursk nchini Russia ambako vikosi vya Ukraine vilianzisha mashambulizi mwezi Agosti.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/maafisa-wa-russia-na-ukraine-wameripoti-mapigano-mkoa-wa-sumy-nchini-ukraine/8005300.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/maafisa-wa-russia-na-ukraine-wameripoti-mapigano-mkoa-wa-sumy-nchini-ukraine/8005300.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 10 Mar 2025 18:10:43 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/08e36c5f-7333-4350-bf53-a7cb762edc31_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>China itaongeza juhudi zaidi kwa ajili ya kuungana kwa amani na Taiwan</title>
            <description>Wakati huo huo Rais wa Taiwan Lai Ching-te amesema ni watu wa Taiwan pekee wanaoweza kuamua mustakabali wao.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/china-itaongeza-juhudi-zaidi-kwa-ajili-ya-kuungana-kwa-amani-na-taiwan/8005285.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/china-itaongeza-juhudi-zaidi-kwa-ajili-ya-kuungana-kwa-amani-na-taiwan/8005285.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 10 Mar 2025 18:03:27 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/0a4af4b0-36ee-4bd1-900d-3a704c657b72_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Papa Francis anashiriki wiki ya mapumziko ya kiroho huko Vatican</title>
            <description>Papa Francis alifuatilia ufunguzi wa mkutano huo kwa njia ya video siku ya Jumapili.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/papa-francis-anashiriki-wiki-ya-mapumziko-ya-kiroho-huko-vatican/8005266.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/papa-francis-anashiriki-wiki-ya-mapumziko-ya-kiroho-huko-vatican/8005266.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 10 Mar 2025 17:54:56 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/03158eb1-7640-4ece-e7ed-08dd4a81f35f_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Korea Kaskazini imerusha makombora kwenda Korea Kusini</title>
            <description>Tukio limetokea saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi yao ya pamoja ya kila mwaka.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8005250.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8005250.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 10 Mar 2025 17:42:13 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-5c07-08dc8afd85a8_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Papa Francis atuma maombi yake ya kila Jumapili akiwa hospitalini</title>
            <description>Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ambaye afya yake imeendelea kuimarika wakati akipokea matibabu kutokana na homa ya mapafu, Jumapili aliwashukuru madaktari pamoja na wahudumu wa afya, ingawa hakuweza kuongoza maombi ya Angelus kwa mara ya nne mfululizo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/papa-francis-atuma-maombi-yake-ya-kila-jumapili-akiwa-hospitalini/8004841.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/papa-francis-atuma-maombi-yake-ya-kila-jumapili-akiwa-hospitalini/8004841.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 10 Mar 2025 05:04:15 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/1b868519-d7c4-4232-99c4-800d1a70d4f8_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Iran, Russia na China kufanya mazoezi ya pamoja ya majeshi ya wanamaji</title>
            <description>Majeshi ya Wanamaji ya Iran, Russia na China yatafanya mazoezi ya katika pwani ya Iran wiki hii katika jitihada za kuimarisha ushirikiano, vyombo vya habari vya Iran vimeripoti Jumapili.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/iran-russia-na-china-kufanya-mazoezi-ya-pamoja-ya-majeshi-ya-wanamaji/8004355.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/iran-russia-na-china-kufanya-mazoezi-ya-pamoja-ya-majeshi-ya-wanamaji/8004355.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 09 Mar 2025 19:14:27 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5b17f3de-2ad9-44ea-a987-66d04651cc50_cx0_cy6_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wahodhi watishia kuanza oparesheni zao</title>
            <description>Kiongozi wa waasi wa Kihouthi wa Yemen, Ijuma amesema kundi hilo litarudia operesheni zake za kijeshi dhidi ya Israel, endapo Israel haitaondoa kizuizi cha misaada cha Gaza ndani ya siku nne.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wahodhi-watishia-kuanza-oparesheni-zao/8003734.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wahodhi-watishia-kuanza-oparesheni-zao/8003734.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Mar 2025 20:54:49 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ad12a6e5-99bf-47d0-b944-b146bbb89e1b_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kimbunga Alfred chapunguza kasi Australia</title>
            <description>Kimbunga Alfred kilidhoofika kitropiki Jumamosi kilipokaribia kuwa mvua na upepo uliovuma pwani ya mashariki mwa Australia ambapo mamia ya maelfu ya nyumba hazikuwa na umeme.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kimbunga-alfred-chapunguza-kasi-australia/8003733.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kimbunga-alfred-chapunguza-kasi-australia/8003733.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Mar 2025 20:51:11 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/258baae7-f497-4963-8838-737565a5f7ea_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Furaha na huzuni zadhihiri katika Bustani ya Mtakatifu Petro baada ya kusikia sauti ya Papa</title>
            <description>Waumini wa kanisa katoliki wamekuwa na hisia mchanganyiko baada ya
kusikia sauti ya Papa Francis leo Ijumaa, kwa mara ya kwanza tangu
alipolazwa hospitali, mwezi Februari.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/furaha-na-huzuni-zadhihiri-katika-bustani-ya-mtakatifu-petro-baada-ya-kusikia-sauti-ya-papa/8003439.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/furaha-na-huzuni-zadhihiri-katika-bustani-ya-mtakatifu-petro-baada-ya-kusikia-sauti-ya-papa/8003439.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Mar 2025 07:53:15 +0300</pubDate>
            <category>Dunia</category><author> voadigital@voanews.com (AP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f17fa1be-892f-46ee-bf8b-602303db2afc_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Thailand yajadiliana na maafisa wa serikali mbalimbali kuhusu raia zao</title>
            <description>Serikali ya Thailand imesema Alhamisi kwamba inafanya majadiliano na maafisa wa serikali mbali mbali au maafisa wa balozi  za nchi ambazo raia wao wamekwama kwenye mpaka kati ya Thailand na Myanmar.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/thailand-yajadiliana-na-maafisa-wa-serikali-mbalimbali-kuhusu-raia-zao/8001334.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/thailand-yajadiliana-na-maafisa-wa-serikali-mbalimbali-kuhusu-raia-zao/8001334.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Mar 2025 20:51:07 +0300</pubDate>
            <category>Dunia</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/63c231f1-490f-4380-b364-46a37c8dc6d6_cx0_cy9_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa asema wanashirikiana  taarifa za kijasusi na Ukraine</title>
            <description>Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Sebastien Lecornu alisema Alhamisi kwamba Ufaransa inashirikiana  taarifa za kijasusi na Ukraine, hatua iliyofuatia baada ya Marekani kusema inapunguza ushirikiano wa  kijasusi na Ukraine.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8001278.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8001278.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Mar 2025 20:13:07 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/e0594d3d-6299-422c-8f21-f79558da7c88_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Trump aionya Hamas</title>
            <description>Hamas iliyotajwa kuwa kundi la kigaidi na Marekani ilisema Alhamisi kwamba vitisho kutoka kwa rais wa Marekani Donald Trump vinahimiza Israel iondoke  kwenye makubaliano  ya  usitishaji mapigano huko Gaza.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/trump-aionya-hamas/8001093.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/trump-aionya-hamas/8001093.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Mar 2025 18:42:32 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/fcd598f8-036e-4951-8698-f1e0de7c58ff_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Iran yakamilisha zoezi kubwa zaidi la kijeshi </title>
            <description>Iran imekamilisha  miezi miwili ya mazoezi makali ya kijeshi katika miongo kadhaa huku ikijaribu kuzuia uwezekano wa mashambulizi kutoka kwa mahasimu wake Israel na Marekani, watafiti wa usalama wameiambia VOA.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/iran-yakamilisha-zoezi-kubwa-zaidi-la-kijeshi-/7999671.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/iran-yakamilisha-zoezi-kubwa-zaidi-la-kijeshi-/7999671.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Mar 2025 05:04:01 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/293454a6-46ac-46ec-9d18-4baf0bd4f19e_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Russia yalaumu Ulaya kwa kuendeleza vita vya Ukraine</title>
            <description>Wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya wakijiandaa kwa mazungumzo ya dharura kuhusu misaada ya kijeshi baada ya utawala wa Trump kusitisha msaada wake kwa Ukraine, wataalam kadhaa wa Russia wanasema kuwa Moscow inajitahidi kuvuruga mshikamano wa Magharibi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/russia-yalaumu-ulaya-kwa-kuendeleza-vita-vya-ukraine/7999660.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/russia-yalaumu-ulaya-kwa-kuendeleza-vita-vya-ukraine/7999660.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Mar 2025 04:50:23 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/75895e14-fda3-498a-9922-c883be80418a_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>