<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Maisha na Afya - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/5958</link>
        <description>Maisha na Afya yakuletea habari muhimu, mazungumzo na wataalam wa afya, uzazi, mazoezi na lishe kwa Kiswahili kupitia voaswahili.com/maisha-na-afya.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Maisha na Afya - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/5958</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:32:56 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zr-yqrl-vomx-tpeoyuqr" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Vifaa vyenye teknolojia ya kisasa vinawasaidia walemavu katika maisha ya kila siku.</title>
            <description>Teknolojia saidizi ni vifaa, programu, au vifaa vinavyowasaidia watu wenye ulemavu kufanya kazi zao za msingi za kila siku. Vifaa hivi ni pamoja na viti vya magurudumu, miwani inayokupa nguvu ya  kuona vitu, vifaa vinavyowekwa masikioni, viungo bandia na vya kidigitali kama vile simu za mkononi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8002766.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8002766.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 07 Mar 2025 22:13:46 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ca8bdb40-803f-45a6-0231-08dd5c8b1668_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunaangazia vinyama vidogo au visunzua vinavyojitokeza kwenye ngozi ya binadamu.</title>
            <description>VISUNZUA au SKIN TAG ni vinyama vidogo vinavyojitokeza katika ngozi ambavyo huonyesha muonekano tofauti katika ngozi. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7992841.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7992841.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 28 Feb 2025 22:21:35 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/4ca15040-d2a3-4c57-eccc-08dd4a81f35f_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo</title>
            <description>Magonjwa ya moyo yanaongoza katika sababu kuu za vifo duniani kote kama ilivyoripotiwa na Shirika la Afya Duniani-WHO. Takribani asilimia 32 ya vifo duniani katika mwaka 2019 vilitokana na magonjwa ya moyo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7987722.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7987722.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 25 Feb 2025 22:17:24 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5941c0b3-5a64-4eb8-0175-08dd4a817621_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika umuhimu wa ufuatiliaji afya ya moyo.</title>
            <description>Magonjwa ya moyo yanaongoza katika sababu kuu za vifo duniani kote kama ilivyoripotiwa na Shirika la Afya Duniani. Takribani asilimia 32 ya vifo duniani katika mwaka 2019 vilitokana na magonjwa ya moyo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7987655.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7987655.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 25 Feb 2025 21:47:07 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/bc6c698e-3bb0-4d75-0162-08dd4a817621_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ugonjwa wa maumivu ya mifupa ni sababu mojawapo inayopelekea ulemavu kwa binadamu. </title>
            <description>Arthritis ni kundi la magonjwa yanayosababisha uvimbe, maumivu, na viungo vya mwili kukakamaa na kufanya iwe vigumu kwa mtu kutembea au kujishughulisha na kazi za aina yeyote. Ni moja ya sababu kuu za maumivu na ulemavu duniani kote. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-maumivu-ya-mifupa-ni-sababu-mojawapo-inayopelekea-ulemavu-kwa-binadamu-/7975485.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-maumivu-ya-mifupa-ni-sababu-mojawapo-inayopelekea-ulemavu-kwa-binadamu-/7975485.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 14 Feb 2025 22:44:36 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ad5472f0-00b0-4154-f808-08dd4a817620_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii. </title>
            <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu milioni 50 duniani wanaugua ugonjwa wa kifafa na takribani asilimia 80 kati yao wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini na cha kati ambapo kuna upatikanaji mdogo wa dawa. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-kifafa-na-changamoto-zake-katika-jamii-/7967002.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-kifafa-na-changamoto-zake-katika-jamii-/7967002.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 07 Feb 2025 22:14:24 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c5a01169-e00c-476b-8b82-6b2b48a4eea9_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika tatizo la seli zinazokua nje ya kizazi cha mwanamke.</title>
            <description>Shirika la Afya Duniani-WHO linasema Endometriosis huathiri wanawake milioni 190 wenye umri wa kuzaa duniani kote. Hali hii inaweza kuanza wakati wa hedhi ya kwanza ya msichana na inadumu hadi ukomo wa hedhi. Inaelezwa uelewa kuhusu Endometriosis bado ni mdogo barani Afrika. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7958641.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7958641.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 31 Jan 2025 22:10:00 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/48bbd795-0d04-4d1b-b056-7bf42f2d1130_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika mashujaa wasiosikika katika utoaji huduma za afya kwa
wazee.
</title>
            <description>Walezi ni watu wanatoa huduma za moja kwa moja kwa wengine ikijumuisha wazee, watoto, au wagonjwa. Wanajukumu muhimu katika huduma za afya lakini hawapewi umuhimu ipasavyo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7951644.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7951644.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 27 Jan 2025 17:28:53 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f9495fcd-6fb5-4f7e-9ca9-53e76d9f98ca_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mzigo wa magonjwa yanayochochewa na virusi barani Afrika.</title>
            <description>Maambukizi ya virusi ni suala linaloleta wasiwasi duniani. Kulingana na ripoti za Shirika la Afya Duniani maambukizi yaliyopo kama vile COVID-19 yanaongezeka mara kwa mara huku kukiwa na changamoto zinazoendelea kama vile HIV na homa ya ini hasa katika nchi za kipato cha chini na cha kati.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mzigo-wa-magonjwa-yanayochochewa-na-virusi-barani-afrika-/7940888.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mzigo-wa-magonjwa-yanayochochewa-na-virusi-barani-afrika-/7940888.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Jan 2025 22:34:56 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/b8a2b1ca-6288-4eab-b410-db43d7738a64_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunaangalia hatari za kubadilisha rangi yako ya Ngozi inavyokuza wasiwasi wa afya.</title>
            <description>Tabia ya watu kubadilisha Ngozi zao za asili au kujichubua ni kawaida duniani kote. Lakini wataalamu wa afya wanasema inaweza kuleta hatari za kiafya. Wanasema matumizi ya bidhaa za kubadilisha ngozi zina mchanganyiko hatari kama vile Hydroquinone, Zebaki, na Corticosteroids.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tunaangalia-hatari-za-kubadilisha-rangi-yako-ya-ngozi-inavyokuza-wasiwasi-wa-afya-/7932520.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tunaangalia-hatari-za-kubadilisha-rangi-yako-ya-ngozi-inavyokuza-wasiwasi-wa-afya-/7932520.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 10 Jan 2025 21:57:42 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/b02ac344-9abe-430f-92cc-2e4df9955df8_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mazoezi yanavyoimarisha afya ya mwili pamoja na umri</title>
            <description>Wataalamu wa afya wanasema mazoezi ya kimwili ni moja ya maazimio maarufu ya mwaka mpya kwa kila mtu, kwani jamii inalenga kuboresha afya na ustawi wake. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7923696.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7923696.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 Jan 2025 23:43:34 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/223d350e-714c-434e-9fc4-6e2c3780c1d8_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tutamulika ufahamu kuhusu faida za kicheko  kwa ustawi wako wa afya.</title>
            <description>Wataalam wa afya wanasema kicheko kina jukumu muhimu katika kuimarisha afya yako. Kicheko kinaimarisha mfumo wako wa kinga, kinaongeza hisia, kinapunguza maumivu, na kinakulinda kutokana na athari mbaya za msongo wa mawazo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7916361.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7916361.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 27 Dec 2024 23:14:15 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/566c472b-e1ba-4927-bc9f-4abe263cbe58_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika athari za kunywa pombe kupita kiasi wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka. </title>
            <description>Huu ni msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka ambazo zinaambatana na safari kutoka eneo moja Kwenda jingine. Lakini jambo muhimu ni kuangalia afya zetu, ikijumuisha mlo, vinywaji baridi na pombe tunazokunywa kwa wakati huo tunapojumuika na wapendwa wetu, wana familia, na marafiki. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7911132.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7911132.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 23 Dec 2024 17:22:01 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5d4ad281-310e-42c8-b247-2f0d9c3b204b_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika tatizo la wanaume kutojisikia hamu ya kushiriki tendo la ndoa na wenza wao. </title>
            <description>Wataalam wa afya kutoka Johns Hopkins Medicine nchini Marekani wanasema hali inayowakumba wanaume ya kutojihisi kufanya tendo la ndoa au kufanya mapenzi ni tatizo linawaathiri mamilioni ya wanaume duniani. Inaweza kuwaathiri katika umri wowote lakini ni kawaida zaidi kwa watu wazima. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7900536.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7900536.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 13 Dec 2024 21:36:35 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f16999c6-5648-4270-907e-00d9999c974f_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mapambano yanayoendelea dhidi ya HIV na Ukimwi kuelekea malengo ya UN mwaka 2030.</title>
            <description>Kwa mujibu wa UNAIDS watu milioni 39 duniani wanaishi na HIV na zaidi ya milioni 29 wanatumia dawa ya kupunguza makali ya HIV. Hata hivyo watu milioni 9.2 bado hawana uwezo wa kupata matibabu. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mapambano-yanayoendelea-dhidi-ya-hiv-na-ukimwi-kuelekea-malengo-ya-un-mwaka-2030-/7896292.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mapambano-yanayoendelea-dhidi-ya-hiv-na-ukimwi-kuelekea-malengo-ya-un-mwaka-2030-/7896292.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 10 Dec 2024 21:20:19 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a32d162b-f6e5-4aa3-b08a-ef2f4976fe7b_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunaangazia jinsi harakati za uchaguzi zinavyoweza kuathiri afya ya binadamu na ustawi wake.</title>
            <description>Wataalamu wa afya wanasema wakati uchaguzi unapofanyika mahala popote duniani unaweza kuchangia kwa nafasi kubwa katika tatizo la afya ya akili na msongo wa mawazo miongoni mwa watu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tunaangazia-jinsi-harakati-za-uchaguzi-zinavyoweza-kuathiri-afya-ya-binadamu-na-ustawi-wake-/7881775.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tunaangazia-jinsi-harakati-za-uchaguzi-zinavyoweza-kuathiri-afya-ya-binadamu-na-ustawi-wake-/7881775.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 29 Nov 2024 22:24:14 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/34da60e4-ab9f-4ba5-9abd-c07d561ddba7_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Fibroids zinavyoleta athari katika afya ya uzazi kwa wanawake</title>
            <description>Fibroids ya shingo ya kizazi ni ukuaji wa uvimbe katika shingo ya uzazi. Uvimbe huu unatofautiana kwa idadi na ukubwa lakini sio saratani. Wanawake wanapitia hali hii huenda wakashuhudia kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi. Ugonjwa huu unaweza kusababisha mwanamke kushindwa kushika mimba.
</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7873770.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7873770.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 22 Nov 2024 22:38:25 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/e8aca3e4-f4e2-4628-a27e-c965252e8db6_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je unafahamu ugonjwa wa LUPUS unasababishwa na nini na dalili zake zikoje?</title>
            <description>Lupus ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa kinga ya mwili ambao unasababisha mwili kushambulia tishu pamoja na viungo vyake. Ugonjwa huu sugu husababisha mwili kuvimba. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-unafahamu-ugonjwa-wa-lupus-unasababishwa-na-nini-na-dalili-zake-zikoje-/7868248.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-unafahamu-ugonjwa-wa-lupus-unasababishwa-na-nini-na-dalili-zake-zikoje-/7868248.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 18 Nov 2024 22:41:22 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/55f9a465-41ab-4506-8a5c-1b0dd92d3b40_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Fahamu mchakato wa mwanamke kubebeshwa mimba kwa niaba ya mtu binafsi au wanandoa. </title>
            <description>Utaratibu wa mwanamke kushika mimba kwa niaba ya mtu au wanandoa wengine ambapo wakina mama wanaoamua kubebeshwa mimba kwa utaratibu huu wanapatiwa aina ya matibabu ya uzazi ambapo mayai yanachanganywa na mbegu za kiume nje ya mwili wa mwanamke.  </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/fahamu-mchakato-wa-mwanamke-kubebeshwa-mimba-kwa-niaba-ya-mtu-binafsi-au-wanandoa-/7857340.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/fahamu-mchakato-wa-mwanamke-kubebeshwa-mimba-kwa-niaba-ya-mtu-binafsi-au-wanandoa-/7857340.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 08 Nov 2024 22:04:11 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/53d96dc8-9779-4db0-b462-d1e6fdf4f8f2_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika tatizo na athari za hali ya kiafya kwa mtu kupata wasiwasi.</title>
            <description> Watu wanaokabiliwa na hali ya hofu au wasiwasi mkubwa wanapojikuta katika mazingira  kama vile kumuona nyoka au kutazama kina chenye urefu mkubwa. Wataalamu wa afya wanasema hali hii inaitwa Phobia. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tunamulika-tatizo-na-athari-za-hali-ya-kiafya-kwa-mtu-kupata-wasiwasi-/7847983.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tunamulika-tatizo-na-athari-za-hali-ya-kiafya-kwa-mtu-kupata-wasiwasi-/7847983.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 01 Nov 2024 21:05:01 +0300</pubDate>
            <category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/fcfce5db-575c-4ce2-a827-f4266a8e938a_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>