<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Katika Picha - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/2778</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Katika Picha - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/2778</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Sat, 18 Apr 2026 12:13:16 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zpyk_l-vomx-tpe_r-y" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Baadhi ya Masuala muhimu yaliyojitokeza wakati Trump na Netanyahu walipokutana</title>
            <description>Rais wa Marekani Donald Trump Jumanne alikutana na Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu huko White House kujadili masuala kadhaa, ikiwemo sitisho la mapigano Gaza ambapo Israel ilikuwa katika vita na wanamgambo wa Hamas. Hizi ni baadhi ya nukuu muhimu.⁣</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/baadhi-ya-masuala-muhimu-yaliyojitokeza-wakati-trump-na-netanyahu-walipokutana/7965698.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/baadhi-ya-masuala-muhimu-yaliyojitokeza-wakati-trump-na-netanyahu-walipokutana/7965698.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 06 Feb 2025 23:38:50 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/173e64ca-a5c9-45ef-b34b-67dffaf295dc_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Amri ya utendaji ni nini?</title>
            <description>Amri ya Utendaji ni agizo linalotolewa na Rais wa Marekani kusimamia operesheni za serikali kuu. Amri hizi zina nguvu ya kisheria, licha ya kuwa hazihitaji kuidhinishwa na Bunge.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/amri-ya-utendaji-ni-nini-/7949903.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/amri-ya-utendaji-ni-nini-/7949903.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 25 Jan 2025 10:13:16 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2ba9cee7-8fed-4141-9090-86970c505713_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Trump aanza utawala wake mpya kwa kusaini mamia ya amri za kiutendaji</title>
            <description>Rais Donald Trump ameanza utawala wake mpya wiki hii kwa kusaini mamia ya amri za kiutendaji kwa  masuala mbali mbali kuanzia  nishati hadi uhamiaji. Hizi hapa ni baadhi ya amri hizo...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/trump-aanza-utawala-wake-mpya-kwa-kusaini-mamia-ya-amri-za-kiutendaji/7948999.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/trump-aanza-utawala-wake-mpya-kwa-kusaini-mamia-ya-amri-za-kiutendaji/7948999.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 24 Jan 2025 18:40:35 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/08362bfa-630d-43c8-b49e-0035981e9c1a_cx0_cy1_cw0_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maandamano ya &quot;People&apos;s March&quot; kabla ya kuapishwa Trump</title>
            <description>Maandamano yaliyopewa jina la &quot;People&apos;s March&quot; yalianza kutoka uwanja wa Franklin na kupita kati kati ya jiji la Washington hadi uwanja mkubwa mbele ya makumbusho ya Lincon.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7942140.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7942140.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 19 Jan 2025 07:07:41 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/0ccb7cf9-f25c-42cb-8784-de60c8a2c5f8_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tazama baadhi ya wajumbe muhimu wa baraza la mawaziri la Donald Trump</title>
            <description>Wakati utawala wa rais mteule Trump unajumuisha maelfu ya  wateuliwa, watu aliowapendekezwa kuunda baraza la mawaziri ni muhimu zaidi. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tazama-baadhi-ya-wajumbe-muhimu-wa-baraza-la-mawaziri-la-donald-trump/7940633.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tazama-baadhi-ya-wajumbe-muhimu-wa-baraza-la-mawaziri-la-donald-trump/7940633.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Jan 2025 19:33:40 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/3388cc6e-e30a-4568-9988-a1e2ec51d90b_cx0_cy27_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Matukio Makuu Wakati Jimmy Carter akiwa Rais wa Marekani</title>
            <description>Muhula wa Madaraka wa Rais wa 39 wa Marekani ulikabiliwa na misukosuko ya ndani na nje ya nchi na pia mafanikio. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/matukio-makuu-wakati-jimmy-carter-akiwa-rais-wa-marekani/7930612.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/matukio-makuu-wakati-jimmy-carter-akiwa-rais-wa-marekani/7930612.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 09 Jan 2025 08:55:10 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ae788e36-daf7-4e1b-bb2c-f9d1ee99e07c_cx17_cy46_cw82_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Historia ya Maisha ya Marehemu Jimmy Carter</title>
            <description>Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter ambaye alihudumu kwa muhula mmoja tu madarakani kutoka 1977 mpaka 1981, katika kipindi cha urais ambacho kilikuwa na changamoto za uchumi na mzozo wa matekani nchini Iran.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/historia-ya-maisha-ya-marehemu-jimmy-carter/7919906.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/historia-ya-maisha-ya-marehemu-jimmy-carter/7919906.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 31 Dec 2024 18:57:49 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/7f264316-d635-492c-86b7-a4186807c2af_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ziara ya Biden Angola kukabiliana na ushawishi wa China barani Afrika</title>
            <description>Biden aliwasili Angola Jumatatu kuanza ziara yake iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu huko Afrika, kusini mwa jangwa la Sahara na atatumia siku tatu za ziara yake kukabiliana na ushawishi wa China kwa kutangaza mradi wenye matarajio makubwa wa reli unaofadhiliwa na Marekani.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ziara-ya-biden-angola-kukabiliana-na-ushawishi-wa-china-barani-afrika/7885630.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ziara-ya-biden-angola-kukabiliana-na-ushawishi-wa-china-barani-afrika/7885630.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 03 Dec 2024 19:20:14 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/cb769be5-d29a-4dfc-bdf6-8ea26641a8f3_w800_h450.jpeg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais mteule wa Marekani Trump akitoa wito kwa taifa kujenga umoja </title>
            <description>Rais mteule wa Marekani Donald Trump akiwashukuru wafuasi wake baada ya kuchaguliwa na wananchi kuwa rais wa 47. Trump alikuwa na ujumbe wa kujenga umoja kwa wale waliohudhuria mkusanyiko huo wa mkesha wa matokeo ya uchaguzi huko Florida, Marekani.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-mteule-wa-marekani-trump-akitoa-wito-kwa-taifa-kujenga-umoja-/7875699.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-mteule-wa-marekani-trump-akitoa-wito-kwa-taifa-kujenga-umoja-/7875699.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 25 Nov 2024 07:26:32 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>Uchaguzi Marekani 2024</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f90a0cc8-219a-4166-b6b9-9319bffa318b_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Nini Cha Kufahamu Kuhusu Tim Walz</title>
            <description>Tim Walz, gavana wa Minnesota, amechaguliwa kuwa mgombea mwenza wa Makamu wa Rais Kamala Harris katika kinyang’anyiro cha kuwania urais. Hizi ni baadhi ya taarifa kuhusu mgombea makamu wa urais kwa tiketi ya Demokratiki.⁣⁣
⁣
#us #harris #vp #pick #tim #walz #voaswahili</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/nini-cha-kufahamu-kuhusu-tim-walz/7734394.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/nini-cha-kufahamu-kuhusu-tim-walz/7734394.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 08 Aug 2024 07:25:02 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-417d-08dcb75f8b01_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mdahalo wa CNN wa wagombea urais watoa fursa mpya kwa Biden na Trump</title>
            <description>Rais wa Marekani Joe Biden na Rais wa zamani wa Marekani na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republikan Donald Trump wakishiriki katika mdahalo wa CNN wa wagombea urais wa uchaguzi wa mwaka 2024 katika studio za Kituo cha Televisheni cha CNN huko Atlanta, Georgia, Juni 27, 2024.⁣</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mdahalo-wa-cnn-wa-wagombea-urais-watoa-fursa-mpya-kwa-biden-na-trump/7676670.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mdahalo-wa-cnn-wa-wagombea-urais-watoa-fursa-mpya-kwa-biden-na-trump/7676670.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 28 Jun 2024 08:19:40 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Uchaguzi Marekani 2024</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/93707a26-5685-46d9-bba7-649d89016737_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Siku 100 za Kumbukumbu ya mauaji ya kimbari Rwanda zaanza</title>
            <description>Maadhimisho ya Kumbukumbu ya siku 100 za mauaji ya kimbari yakiendelea huko Kigali, Rwanda. Picha zote kwa hisani ya Ikulu ya Kigali.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kumbukumbu-ya-mauaji-ya-kimbari-rwanda/7561130.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kumbukumbu-ya-mauaji-ya-kimbari-rwanda/7561130.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 08 Apr 2024 16:41:32 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-6f00-08dc57cd19c1_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kampeni za uchaguzi DRC zimepamba moto</title>
            <description>Wagombea kiti cha rais katika uchaguzi wa Disemba 20 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanazunguka nchi nzima kunadi siasa na sera zao kukiwepo na idadi kubwa ya wafuasi wanaojitokeza kwa mikutano yao. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-za-uchaguzi-drc-zimepamba-moto/7394566.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-za-uchaguzi-drc-zimepamba-moto/7394566.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 14 Dec 2023 07:29:48 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>Uchaguzi DRC 2023</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/d25b55ad-92a9-4f88-a109-13a3e3164b72_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kura za hesabiwa Madagascar kufuatia uchaguzi wa rais ulosusiwa na upinzani</title>
            <description>Kura zinahesabiwa nchini Madagascar baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa rais ulosusiwa na idadi kubwa ya wapinzani. Uchaguzi umefanyika baada ya wiki kadhaa za ghasia na maandamano, na katika mji mkuu wa Antananarivo wafuatiliaji wanasema uchaguzi umefanyika kwa amani.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7358923.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7358923.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Nov 2023 08:57:46 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/edb05fff-ffe1-4114-a78f-552420daacfe_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mapigano kati ya Israel na Hamas yaingia wiki ya sita, na kusababisha hospitali nyingi kusita kutoa huduma</title>
            <description>Maafisa wa afya wa Gaza wanasema ukosefu wa mafuta imesababisha kusitishwa kazi kwenye hospitali kadha Gaza kaskazini ambako watoto watano wachanga wamefariki Jumapili pamoja na wagonjwa 7 walokua mahtuti baada ya mashini za kuwapa oxygen kusita kufanya kazi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7352430.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7352430.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 13 Nov 2023 09:53:10 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Katika Picha</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c3bff970-be15-4fd3-8460-59503c8b0266_cx0_cy50_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Hamas na Israel wote wanatuhumiwa kwa uhalifu wa kivita katika vita vyao vinavyoendelea</title>
            <description>Wataalam wanasema Hamas imetekeleza uhalifu wa kivita kwa kufanya mashambulizi holela ya roketi na shambulizi la Oktoba 7 dhidi ya Israel ambalo lilisababisha vifo vya watu 1,400.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/hamas-na-israel-wote-wanatuhumiwa-kwa-uhalifu-wa-kivita-katika-vita-vyao-vinavyoendelea/7335604.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/hamas-na-israel-wote-wanatuhumiwa-kwa-uhalifu-wa-kivita-katika-vita-vyao-vinavyoendelea/7335604.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 01 Nov 2023 04:12:32 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-d513-08dbda749bbc_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mapigano ya Gaza yaendelea kwa wiki ya nne mfululizo</title>
            <description>Mapigano yameongezeka huko Gaza, huku maandamano yakifanyika katika pembe zote za dunia kuunga mkono Palestina na kutaka kuachiliwa kwa mateka. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mapigano-ya-gaza-yaendelea-kwa-wiki-ya-nne-mfululizo/7332501.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mapigano-ya-gaza-yaendelea-kwa-wiki-ya-nne-mfululizo/7332501.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 31 Oct 2023 07:56:29 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/30571099-c79c-464e-a0bf-36c0ae62f230_cx11_cy16_cw83_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Matukio ya siku ya 7 tangu kuanza mapigano kati ya Israel na Palestina</title>
            <description>Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kukimbia kutoka makazi yao kaskazini mwa ukanda wa Gaza mwishoni mwa wiki hii tangu Israel kuanza mashambulio dhidi ya kundi la Hamas, huku Umoja wa Mataifa ukionya hali ni mbaya kabisa katikia ukanda huo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7312448.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7312448.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 16 Oct 2023 09:42:02 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/77759968-9dba-4ce4-9809-ecdffaff9603_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maandamano na mapigano baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel</title>
            <description>Mapigano makali yameripotiwa kati ya jeshi la Israel na wapiganaji wa Hamas, siku ya pili baada ya wanamgambo hao kuishambulia Israel. Maandamano ya kuunga mkono pande zote mbili yamefayika katika miji mbali mbali ya dunia. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7302104.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7302104.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 13 Oct 2023 17:12:18 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/82d6ed3f-8ace-4baa-b3ab-2c960be17a99_cx0_cy10_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waandamanaji wajitokeza nje kidogo ya Makao Makuu ya UN wakitaka kumalizika udhalimu kwa watu wa Sierra Lione</title>
            <description>Huku Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likiendelea na vikao vyake Ijumaa, waandamanaji wakitaka kumalizika udhalimu kwa watu wa Sierra Lione. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/waandamanaji-wajitokeza-nje-kidogo-ya-makao-makuu-ya-un-wakitaka-kumalizika-udhalimu-kwa-watu-wa-sierra-lione/7279830.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/waandamanaji-wajitokeza-nje-kidogo-ya-makao-makuu-ya-un-wakitaka-kumalizika-udhalimu-kwa-watu-wa-sierra-lione/7279830.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 22 Sep 2023 18:37:36 +0300</pubDate>
            <category>Katika Picha</category><category>Mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la UN</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-640b-08dbbb7ea856_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>