<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Wanawake - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/3096</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Wanawake - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/3096</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:29:18 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zokgrl-vomx-tpeppbr" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Ripoti ya UN yatadharisha kuzorota kwa haki za wanawake duniani</title>
            <description>Ripoti hiyo iliyotolewa Alhamisi na idara ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za wanawake na usawa wa jinsia imegundua kuwa karibu robo moja ya serikali kote duniani zimeripoti kuzorota kwa haki za wanawake mwaka jana.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8004096.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8004096.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 09 Mar 2025 07:18:48 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><category>Habari</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/e601549e-344f-4e92-02d1-08dd5c8b1668_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maelfu waandamana Uturuki siku ya Wanawake Duniani</title>
            <description>Maelfu ya wanawake waliandamana katika mitaa ya miji ya Uturuki Jumamosi kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, kupinga ukosefu wa usawa na unyanyasaji dhidi ya wanawake.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/maelfu-waandamana-uturuki-siku-ya-wanawake-duniani/8003732.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/maelfu-waandamana-uturuki-siku-ya-wanawake-duniani/8003732.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Mar 2025 20:49:16 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><category>Habari</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2a203fe8-88f3-4c1d-bfe9-f649820670ca_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wanawake wa Kimasai wanavyopambana na mila zinazowagamdamiza </title>
            <description>Jamii ya wanawake wa Kimasai nchini Tanzania imeendelea kupambana na changamoto mbalimbali za kimila na kijamii katika harakati za kupata elimu, licha ya muamko unaoonekana miongoni mwao juu ya umuhimu wa elimu. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-wa-kimasai-wanavyopambana-na-mila-zinazowagamdamiza-/7936497.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-wa-kimasai-wanavyopambana-na-mila-zinazowagamdamiza-/7936497.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 14 Jan 2025 20:07:09 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/0de061ee-9139-4eb7-b263-07b5fbf1952f_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maria Sarungi azungumzia jaribio la kutekwa nyara Kenya </title>
            <description>Mwanahabari na mwanaharakati Maria Sarungi hatimaye amevunja ukimya kufuatia jaribio la kumteka nyara siku ya jumapili Nairobi, Kenya</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/maria-sarungi-azungumzi-jaribio-la-kutekwa-nyara-kenya-/7935243.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/maria-sarungi-azungumzi-jaribio-la-kutekwa-nyara-kenya-/7935243.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 14 Jan 2025 01:20:03 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Wanawake</category><category>Tanzania</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/def58118-fe95-4b4d-ac3d-43583e647997_cx0_cy46_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya: Wanaharakati wavitaka vitengo vya serikali kumaliza  ukatili wa jinsia</title>
            <description>Dunia ikiadhimisha siku 16 za uanaharakati, mashirika ya asasi za kijamii Kenya yameungana na wengine duniani kupinga ukatili wa kijinsia na mauaji ya wanawake ambayo yameshamiri na kuzua hofu miongoni mwa wanawake kenya.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kenya-wanaharakati-wavitaka-vitengo-vya-serikali-kumaliza-ukatili-wa-jinsia/7876193.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kenya-wanaharakati-wavitaka-vitengo-vya-serikali-kumaliza-ukatili-wa-jinsia/7876193.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 25 Nov 2024 19:49:15 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/8222c36b-193e-4b16-93d4-290004ce05cc_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Huldah mzaliwa wa kwanza wa Kenya kujiunga na bunge la Minnesota</title>
            <description>Huldah Momanyi Hiltsley aliweka historia hapo Novemba 5 alipokua mhamiaji wa kwanza mzaliwa wa Kenya kuchaguliwa mbunge wa jimbo la Minnesota. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/huldah-mzaliwa-wa-kwanza-wa-kenya-kujiunga-na-bunge-la-minnesota/7860638.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/huldah-mzaliwa-wa-kwanza-wa-kenya-kujiunga-na-bunge-la-minnesota/7860638.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 12 Nov 2024 07:32:38 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Marekani</category><category>Wanawake</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/9a054295-c724-409f-bfc4-a0e7a3a25a9c_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wanawake watatu wachaguliwa kuwa wabunge wa taifa Botswana </title>
            <description>Ni wanawake watatu pekee waliochaguliwa katika Bunge la Taifa la Botswana katika uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita, ambao ulishuhudia mabadiliko ya madaraka kwa chama tofauti cha siasa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 58. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-watatu-wachaguliwa-kuwa-wabunge-wa-taifa-botswana-/7855672.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-watatu-wachaguliwa-kuwa-wabunge-wa-taifa-botswana-/7855672.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 07 Nov 2024 23:41:14 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/3aa1443d-adc5-4ab8-ae9d-b05ba28243bb_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Marekani: Wanawake Wajitokeza kwa wingi kumuunga mkono mgombea urais Kamala Harris</title>
            <description>Maelfu ya wanawake waliojumuika na wanaume na vijana walikusanyika katika uwanja wa Freedom Plaza, Washington, DC kushiriki maandamano ili kuonyesha mshikamano wa pamoja.  </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/marekani-wanawake-wajitokeza-kwa-wingi-kumuunga-mkono-mgombea-urais-kamala-harris/7850975.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/marekani-wanawake-wajitokeza-kwa-wingi-kumuunga-mkono-mgombea-urais-kamala-harris/7850975.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 05 Nov 2024 15:11:16 +0300</pubDate>
            <category>Uchaguzi Marekani 2024</category><category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/6ca5f5d8-8bb3-4806-8de0-ec1d0ebf9e42_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>CHADEMA yasema Katibu Uenezi wa kitengo cha  wanawake alitekwa nyara katika mji wa Kibiti</title>
            <description>Watu wasiojulikana walimteka nyara, kumpiga na kumjeruhi vibaya afisa mwandamizi wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/chadema-yasema-katibu-uenezi-wa-kitengo-cha-wanawake-alitekwa-nyara-katika-mji-wa-kibiti/7829837.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/chadema-yasema-katibu-uenezi-wa-kitengo-cha-wanawake-alitekwa-nyara-katika-mji-wa-kibiti/7829837.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 21 Oct 2024 06:24:59 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Wanawake</category><category>Tanzania</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/11e12b4c-12c3-4d71-8234-c2c05c82bf90_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Vikwazo wanavyopitia wasichana Tanzania wanaotaka kurudi shule baada ya kujifungua </title>
            <description>Kulingana na Umoja wa Mataifa, msichana mmoja kati ya wanne walio na umri wa miaka 15 mpaka 19 nchini Tanzania ama ni mja mzito au amejifungua. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/vikwazo-wanvyopitia-wasichana-tanzania-wanaotaka-kurudi-shule-baada-ya-kujifungua-/7789444.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/vikwazo-wanvyopitia-wasichana-tanzania-wanaotaka-kurudi-shule-baada-ya-kujifungua-/7789444.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 19 Sep 2024 02:05:03 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/388474a5-fe7b-4901-8225-4b3afb6c0448_cx0_cy10_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mwanariadha aliyechomwa moto na mpenzi wake wa zamani aagwa Kenya </title>
            <description>Waombolezaji wamekusanyika Eldoret, Kenya siku ya Ijumaa kumuaga mwanariadha wa mbio za Marathon za Olimpiki Rebecca Cheptegei ambaye kifo chake cha kusikitisha kimefufua wito wa kutaka hatua zichukuliwe dhidi ya mauaji ya wanawake katika eneo hilo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mwanariadha-aliyechomwa-moto-na-mpenzi-wake-aagwa-kenya-/7783446.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mwanariadha-aliyechomwa-moto-na-mpenzi-wake-aagwa-kenya-/7783446.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 13 Sep 2024 21:17:59 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/fd70553b-06d1-4be9-a6c6-ad90802d78af_cx0_cy2_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wanawake nchini Chad wanapinga ubaguzi na ukatili ili kudai haki zao za kumiliki na kudhibiti ardhi</title>
            <description>Wanawake wengi nchini Chad, Afrika ya Kati, wanatengwa na jamii na pia kutokuwa na sauti katika umiliki wa ardhi au mali walizozifanyia kazi kwa muda mrefu. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-nchini-chad-wanapinga-ubaguzi-na-ukatili-ili-kudai-haki-zao-za-kumiliki-na-kudhibiti-ardhi/7762870.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-nchini-chad-wanapinga-ubaguzi-na-ukatili-ili-kudai-haki-zao-za-kumiliki-na-kudhibiti-ardhi/7762870.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 28 Aug 2024 23:36:35 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (AP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-0b94-08dcc7948807_cx0_cy2_cw96_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ususi unawawezesha wanawake Kigali kujikimu na kutunza familia  </title>
            <description>Wanawake wengi wanaojihusisha na ususi katika jiji la Kigali nchini Rwanda wanaisifia kazi yao kwa kuwapatia kipato cha kuwawezesha kujikimu na kutunza familia zao.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ususi-unevyowawezesha-wanawake-kigali-kujikimu-na-kutuza-familia-zao-/7757350.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ususi-unevyowawezesha-wanawake-kigali-kujikimu-na-kutuza-familia-zao-/7757350.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 26 Aug 2024 18:14:53 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-47da-08dcc5e0a84e_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ukeketaji wa wanawake waendelea kuwa tatizo katika jamii ya Kimaasai </title>
            <description>Mila ya Ukeketaji wanawake maarufu kama FGM bado ni tatizo katika jamii ya wafugaji wa kimaasai nchini Tanzania. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ukeketaji-wa-wanawake-waendelea-kuwa-tatizo-katika-jaimii-ya-kimasai-/7749964.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ukeketaji-wa-wanawake-waendelea-kuwa-tatizo-katika-jaimii-ya-kimasai-/7749964.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 20 Aug 2024 21:11:49 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-fc6a-08dcc13faf2a_cx0_cy10_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Utoaji mimba usio salama wachangia ongezeko la vifo kwa wajawazito Kenya </title>
            <description>Utoaji mimba umezuiliwa nchni Kenya, lakini katika Kaunti ya Kilifi upande kusini mwa pwani ya nchi hiyo, wanawake wengi na wasichana wanaopata uja uzito bila ya kupanga wanasema hawana uchaguzi isipokuwa kupitia utoaji mimba hatari bila ya msada wa muuguzu au daktari. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/utoaji-mimba-kiholela-wachangia-ongezeko-la-vifo-kwa-wajawazito/7732030.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/utoaji-mimba-kiholela-wachangia-ongezeko-la-vifo-kwa-wajawazito/7732030.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 06 Aug 2024 20:13:47 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (Khadija Riyami)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-97a5-08dcb635b300_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>App yatumika kuwaelimisha wasichana Kenya kuhusu hedhi</title>
            <description>Serikali ya Kenya inatumia app mpya ya simu kuwaelimisha wasichana kuhusu afya ya hedhi. Kupitia app ya Oky Kenya, watumiaji wanaweza kupata habari kuhusu usafi na masuala mengine.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/app-yatumika-kuwaelimisha-wasichana-kenya-kuhusu-hedhi/7701486.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/app-yatumika-kuwaelimisha-wasichana-kenya-kuhusu-hedhi/7701486.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 17 Jul 2024 13:08:49 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-459c-08dca6468beb_cx0_cy3_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waathirika wa fistula wapewa matibabu na mafunzo ya ufundi stadi Tanzania </title>
            <description>Wanawake Tanzania waliopona baada ya kupatiwa matibabu ya fistula sasa wanapewa mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kujitegemea kimaisha wanaporudi katika familia zao. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/waathirika-wa-fistula-wapewa-matibabu-na-mafunzo-ya-ufundi-stadi-tanzania-/7625486.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/waathirika-wa-fistula-wapewa-matibabu-na-mafunzo-ya-ufundi-stadi-tanzania-/7625486.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 06 Jul 2024 01:14:56 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-c647-08dc7bf5b1d1_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais wa Sierra Leone asaini sheria inayopiga marufuku ndoa za utotoni</title>
            <description>Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio Jumanne alitia saini sheria inayopiga marufuku ndoa za utotoni katika nchi ambako maelfu ya wasichana wanaolewa kabla ya kufikisha miaka 18.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-sierra-leona-asaini-sheria-inayopiga-marufuku-ndoa-za-utotoni/7683239.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-sierra-leona-asaini-sheria-inayopiga-marufuku-ndoa-za-utotoni/7683239.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 03 Jul 2024 05:39:15 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-42ca-08dc0bdca3b5_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wanawake waandamana Ufaransa</title>
            <description>Maelfu ya wanawake waliingia barabarani katika miji ya Ufaransa, Jumapili kupinga maandamano ya kiongozi wa mrengo wa kulia Marine Le Pen, huku kura za maoni zikionyesha kuwa chama hicho kinaweza kushinda uchaguzi ujao wa bunge.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-waandamana-ufaransa/7667559.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wanawake-waandamana-ufaransa/7667559.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 24 Jun 2024 05:46:24 +0300</pubDate>
            <category>Wanawake</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-3c25-08dc93c505f8_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tanzania: Watetezi wa haki za binadamu wataka serikali ibuni sheria maalum ya ukatili dhidi ya wanawake</title>
            <description>Watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania wameitaka serikali ya nchi hiyo kubuni sheria maalum kwa ajili ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kutokana na kuwepo kwa ongezeko la kubwa la ukatili katika kipindi cha hivi karibuni hali inayoendelea kutia wasiwasi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tanzania-watetezi-wa-haki-za-binadamu-wataka-serikali-ibuni-sheria-maalum-ya-ukatili-dhidi-ya-wanawake/7614298.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tanzania-watetezi-wa-haki-za-binadamu-wataka-serikali-ibuni-sheria-maalum-ya-ukatili-dhidi-ya-wanawake/7614298.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 16 May 2024 06:40:35 +0300</pubDate>
            <category>Tanzania</category><category>Wanawake</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-57e4-08dc404ac4ea_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>