<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>VOA Mitaani - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/3107</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>VOA Mitaani - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/3107</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:35:16 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zjkgol-vomx-tpebpbo" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>VOA Mitaani: Ethiopia kutumia bandari za nchi jirani kuingiza bidhaa zake </title>
            <description>Ethiopia yapanua wigo wake wa kupokea shehena za bidhaa zake kupitia bandari mbalimbali ikiwemo ya Lamu ili kukidhi  mahitaji  ya nchi hiyo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-ethiopia-kutumia-bandari-za-nchi-jirani-kuingiza-bidhaa-zake-/7620776.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-ethiopia-kutumia-bandari-za-nchi-jirani-kuingiza-bidhaa-zake-/7620776.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 21 May 2024 16:34:55 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-696a-08dc799426ba_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA Mitaani: Maoni ya Wakenya baada ya serikali kutangaza ongezeko la kodi </title>
            <description>Maoni ya Wakenya baada ya rais William Ruto kutangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza  kodi  nchini humo. Ungana na Mwandishi  wa VOA Salma Mohamed aliyefanya mahojiani na baadhi ya Wakenya. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wakenya-baada-ya-serikali-kutangaza-ongezeko-la-kodi-/7620765.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wakenya-baada-ya-serikali-kutangaza-ongezeko-la-kodi-/7620765.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 21 May 2024 15:46:42 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-707a-08dc7992d30c_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je, Wakenya wanasema nini kuhusu shutuma za utumiaji wa maiti za watu kisiasa?</title>
            <description>Wakenya wanazungumzia kuhusu shutuma za utumiaji wa maiti za watu na mrengo wa upinzani kulalamikia dhulma za polisi. Ungana na mwandishi wetu akikuletea maoni mbalimbali ya Wakenya kuhusu shutuma hizo...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-wakenya-wanasema-nini-kuhusu-shutuma-za-utumiaji-wa-maiti-za-watu-kisiasa/7223851.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-wakenya-wanasema-nini-kuhusu-shutuma-za-utumiaji-wa-maiti-za-watu-kisiasa/7223851.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 14 Aug 2023 07:03:18 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-bf7a-08db9c78eba7_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA MITAANI: Maoni ya watanzania kuhusu Siku ya Wajane Duniani </title>
            <description>Siku ya Wajane Duniani inaadhimishwa kila mwaka katika nchi mbalimbali. Nchini Tanzania mwandishi wetu anatembelea mitaa ya Kawe jijini Dar es Salaam kutaka kujua wajane hapa nchini wanakabiliwa na changamoto za namna gani. Endelea kusikiliza,,,</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-watanzania-kuhusu-siku-ya-wajane-duniani-/7151090.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-watanzania-kuhusu-siku-ya-wajane-duniani-/7151090.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 24 Jun 2023 08:22:34 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-de0e-08db746e8599_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maoni ya wakenya kuhusu vipaumbele vya bajeti ya mwaka 2023-2024</title>
            <description>Ungana na mwandishi wetu akikuletea kipindi maalum cha VOA Mitaani ambapo anaangalia masuala muhimu yaliyoko katika bajeti ya Kenya 2023/24 ikiwemo, elimu, afya na uzalishaji wa viwanda. Je, wananchi wa Kenya wana maoni gani kuhusu hayo. Endelea kusikiliza...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/maoni-ya-wakenya-kuhusu-vipaumbele-vya-bajeti-ya-mwaka-2023-2024/7141433.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/maoni-ya-wakenya-kuhusu-vipaumbele-vya-bajeti-ya-mwaka-2023-2024/7141433.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 17 Jun 2023 15:41:52 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-d4af-08db6f2dce69_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wananchi waipongeza serikali kudhibiti watu wanaotumia dini kutapeli waumini</title>
            <description>Wiki hii VOA Mitaani inaangalia hatua ya serikali ya Kenya kudhibiti imani potofu zinazotumika kuwatapeli waumini.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-waipongeza-serikali-kudhibiti-watu-wanaotumia-dini-kutapeli-waumini/7091404.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-waipongeza-serikali-kudhibiti-watu-wanaotumia-dini-kutapeli-waumini/7091404.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 13 May 2023 10:38:59 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-fe79-08db53436c64_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je, nini maoni ya Waislam kuhusu matayarisho ya sikukuu ya Idd el Fitr</title>
            <description>Waislam wako katika maandalizi ya sikukuu ya Idd el Fitr nchini Kenya. Ungana na mwandishi wetu wa Kenya akikuletea maoni ya Waumini wa Dini ya Kiislam kuhusu hali ngumu ya kimaisha iliyopo Kenya na namna wanavyoendelea kumtegemea Munga atawaletea faraja kuweza kuadhimisha sikukuu hiyo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-nini-maoni-ya-waislam-kuhusu-matayarisho-ya-sikukuu-ya-idd-el-fitr/7051663.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-nini-maoni-ya-waislam-kuhusu-matayarisho-ya-sikukuu-ya-idd-el-fitr/7051663.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 15 Apr 2023 16:03:29 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-82c1-08db3d6afa87_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ramadhan: Wakimbizi wa Kiislam Goma wamshukuru Mungu kwa kuwapa fursa ya kumuabudu</title>
            <description>Waislam walioko katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Mudigi Wilayani  Nyiragongo, Kivu Kaskazini, DRC waeleza namna wanavyomshukuru Mungu kwa msaada wanaoendelea kuupata. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ramadhan-wakimbizi-wa-kiislam-goma-wamshukuru-mungu-kwa-kuwapa-fursa-ya-kumuabudu/7041847.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ramadhan-wakimbizi-wa-kiislam-goma-wamshukuru-mungu-kwa-kuwapa-fursa-ya-kumuabudu/7041847.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Apr 2023 08:23:53 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-0c4f-08db37e87eaa_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto</title>
            <description>Ungana na mwandishi wetu wa Mombasa akikuletea maoni ya wananchi kuhusiana na uamuzi uliyotolewa na Mahakama Kuu kuhusu suala tata la ndoa ambalo limeendelea kuibua hisia mseto nchini Kenya. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voamitaani-uamuzi-wa-mahakama-kuu-kenya-waibua-hisia-mseto/6947284.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voamitaani-uamuzi-wa-mahakama-kuu-kenya-waibua-hisia-mseto/6947284.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 04 Feb 2023 07:05:48 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>Matukio ya Dunia</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/06a20000-0aff-0242-935b-08db063244a2_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wabunge wepya wa Kenya wajadili kurudishiwa marupurupu kabla ya hata kushughulikia masuala ya kiuchumi.</title>
            <description>Wabunge wepya wa Kenya wajadili kurudishiwa marupurupu kabla ya hata kushughulikia masuala ya kiuchumi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/6760661.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/6760661.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 25 Sep 2022 18:28:44 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/0c520000-0aff-0242-80e8-08da9d926285_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA Mitaani: Wakazi wa Mombasa wamtaka gavana mpya kuchukua hatua</title>
            <description>Uchaguzi Mkuu Kenya: Nini matarajio ya wakazi wa Mombasa, Kenya baada ya kupata gavana mpya? Ungana na Salma Mohamed akikuletea maoni ya wananchi kuhusu hatua zinazopaswa kuchukuliwa na gavana mpya.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-wakazi-wa-mombasa-wamtaka-gavana-mpya-kuchukua-hatua/6729009.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-wakazi-wa-mombasa-wamtaka-gavana-mpya-kuchukua-hatua/6729009.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 03 Sep 2022 00:49:54 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><category> Uchaguzi Mkuu Kenya 2022</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/06400000-0aff-0242-4773-08da8d1a758d_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA MITAANI: Maoni ya wageni Afrika Kusini kuhusu hali ya maisha</title>
            <description>Afrika Kusini ni nchi iliyokuwa na raia wengi wa kigeni. Makala ya VOA Mitaani inakuletea maoni ya wageni wanaoishi nchini humo wakieleza mazuri na changamoto wanazopitia...endelea kumsikiliza mwandishi wetu...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wageni-afrika-kusini-kuhusu-hali-ya-maisha/6622377.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wageni-afrika-kusini-kuhusu-hali-ya-maisha/6622377.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 18 Jun 2022 09:02:58 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/10070000-0aff-0242-3859-08da50b9c008_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Uchaguzi 2022: Idadi ya wanawake wanaogombea uongozi yaongezeka Kenya</title>
            <description>Ungana na mwandishi wa VOA Amina Chombo akikuletea maoni ya Wakenya juu yakuongezeka  idadi ya wanawake mbalimbali wanaogombea nyadhifa za uongozi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/uchaguzi-2022-idadi-ya-wanawake-wanaogombea-uongozi-yaongezeka-kenya/6612527.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/uchaguzi-2022-idadi-ya-wanawake-wanaogombea-uongozi-yaongezeka-kenya/6612527.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 12 Jun 2022 14:39:42 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>Video</category><category>VOA Direct Packages</category><category> Uchaguzi Mkuu Kenya 2022</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/096e0000-0a00-0242-ef69-08da4b1e01f6_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>VOA MITAANI: Maoni ya Wakenya juu wanasiasa wanaokabiliwa na kashfa </title>
            <description>Taasisi za maadili nchini Kenya na Tume ya Kusimamia Uchaguzi imetishia kuwachuja na kuwaondoa wanasiasa wanaokabiliwa na kashfa kugombea katika uchaguzi ujao, Ungana na mwandishi wetu kusikiliza maoni ya Wakenya kuhusu suala hili...</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wakenya-juu-wanasiasa-wanaokabiliwa-na-kashfa-/6592806.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/voa-mitaani-maoni-ya-wakenya-juu-wanasiasa-wanaokabiliwa-na-kashfa-/6592806.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 28 May 2022 00:27:36 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/03190000-0aff-0242-82ae-08da4020ca3d_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waislam wa Kenya waeleza sikukuu ya Idd itavyokuwa na changamoto</title>
            <description>Wakati dunia ikijiandaa na sherehe za kuadhimisha kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislam wa Kenya waeleza hali ngumu ya maisha inayowakabili kutokana na mfumuko wa bei ya chakula na bidhaa nyingine.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/waislam-wa-kenya-waeleza-sikukuu-ya-idd-itavyokuwa-na-changamoto/6551516.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/waislam-wa-kenya-waeleza-sikukuu-ya-idd-itavyokuwa-na-changamoto/6551516.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 30 Apr 2022 07:46:06 +0300</pubDate>
            <category>VOA Direct Packages</category><category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/02af0000-0aff-0242-4385-08da2a439481_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wananchi waeleza hisia zao juu ya uamuzi wa Rais Tshisekedi kuzungumza na waasi</title>
            <description>Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waeleza wasiwasi wao kuhusu mazungumzo yanayofanyika Nairobi katika kutafuta usalama wa eneo la mashariki ya DRC, mojawapo likiwa kuzungumza na makundi ya waasi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-waeleza-hisia-zao-juu-ya-uamuzi-wa-rais-tshisekedi-kuzungumza-na-waasi/6541347.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-waeleza-hisia-zao-juu-ya-uamuzi-wa-rais-tshisekedi-kuzungumza-na-waasi/6541347.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 24 Apr 2022 17:30:05 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/02210000-0aff-0242-daa3-08da24a0044e_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wananchi wa Kenya bado waeleza kukerwa na matamshi ya William Ruto </title>
            <description>Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu ufugaji wa ngombe katika nchi DRC yanaendelea kuibua hisia mseto kutoka kwa wananchi licha ya kiongozi huyo kuomba msamaha.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-wa-kenya-bado-waeleza-kukerwa-na-matamshi-ya-william-ruto-/6449568.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-wa-kenya-bado-waeleza-kukerwa-na-matamshi-ya-william-ruto-/6449568.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 19 Feb 2022 01:03:55 +0300</pubDate>
            <category>VOA Direct Packages</category><category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c4310000-0aff-0242-53a6-08d9f3208177_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wananchi wa Goma watoa maoni kufuatia amri ya Rais Tshisekedi ya kuwakamata viongozi</title>
            <description>Mshauri wa masuala ya usalama wa Rais wa DRC Felix Tshisekedi na watu wengine wa karibu katika uongozi wake wakamatwa.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-wa-goma-watoa-maoni-kufuatia-amri-ya-rais-tshisekedi-ya-kuwakamata-viongozi/6438803.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wananchi-wa-goma-watoa-maoni-kufuatia-amri-ya-rais-tshisekedi-ya-kuwakamata-viongozi/6438803.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 12 Feb 2022 04:56:23 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><category>Video</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c3c50000-0aff-0242-fcdb-08d9edc8528d_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tamko la Waziri Fred Matiang&apos;i lazua mjadala nchini Kenya</title>
            <description>Agizo la Waziri wa Usalama wa Nchi Fred Matiang&apos;i kuwataka maafisa wa serikali kumpigia kampeni mgombea wa urais anaeungwa mkono na Rais Kenyatta limeibua mjadala na maoni chanya.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tamko-la-waziri-fred-matiang-i-lazua-mjadala-nchini-kenya/6359514.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tamko-la-waziri-fred-matiang-i-lazua-mjadala-nchini-kenya/6359514.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 18 Dec 2021 00:10:00 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2ecf33d0-270b-46fb-9064-cc341636ff27_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya yaanza kuchanja watoto dhidi ya COVID-19</title>
            <description>Kenya imefanikiwa kuwa taifa la pili Afrika kutoa chanjo dhidi ya COVID-19 kwa watoto walio na umri wa miaka 15 na zaidi huku kukiwa na maoni mseto kuhusu chanjo hiyo kwa watoto.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yaanza-kuchanja-watoto-dhidi-ya-covid-19/6329636.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yaanza-kuchanja-watoto-dhidi-ya-covid-19/6329636.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 27 Nov 2021 01:42:00 +0300</pubDate>
            <category>VOA Mitaani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/062dc128-32b2-4508-b7c8-ede0f7afc882_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>