<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Kenya - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/4658</link>
        <description>Kenya</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Kenya - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/4658</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:35:15 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zggoqml-vomx-tpe-mmq_" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Wakenya waliotapeliwa nchini Myanmar wemekwama kwenye mpaka wa Thailand</title>
            <description>Zaidi ya Wakenya 60 waliookolewa kutoka mikononi mwa makundi ya matapeli wa mtandaoni nchini Myanmar wamekwama kwenye mpaka kati ya nchi hiyo na Thailand wakiishi katika mazingira mabaya, kulingana na taifa hilo la Afrika Mashariki. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wakenya-waliotapeliwa-nchini-myanmar-wemekwama-kwenye-mpaka-wa-thailand/7996229.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wakenya-waliotapeliwa-nchini-myanmar-wemekwama-kwenye-mpaka-wa-thailand/7996229.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 04 Mar 2025 05:52:12 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-4e1b-08dc6ab51362_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Sudan na wakosowaji walaumu Kenya kuruhusu kufanyika mkutano wa RSF </title>
            <description>Serikali ya Kenya imkosolewa na mkuu wa jeshi la Sudan na baadhi ya wakosowaji wa nchi hiyo kwa kudai imefanya kitendo cha uhalifu wa kutowajibika kwa kuwaruhusu waasi wa kundi la wanamgambo wa Sudan RSF kukutana Nairobi na kupanga kutangaza serikali ya uhamishoni. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7981024.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7981024.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 20 Feb 2025 15:12:53 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a2e40955-c845-42a2-a633-0b97a8dfa34b_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya yahitaji bilioni 24.9 kukidhi huduma za afya </title>
            <description>Kenya imetangaza kuwa inahitaji bilioni 24.9 kukidhi huduma za afya baada ya Marekani kusitisha misaada </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yahitaji-bilioni-24-9-kukidhi-huduma-za-afya-/7978107.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yahitaji-bilioni-24-9-kukidhi-huduma-za-afya-/7978107.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 17 Feb 2025 22:42:45 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f43f045d-cc88-4843-8681-08dd4a843460_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>EAC na SADC zatangaza hatua mpya za kutafuta amani mashariki mwa DRC</title>
            <description>Katika hatua mpya ya kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamefikia maamuzi yatakayosaidia kurejesha utulivu katika eneo hilo linalokumbwa namzozo wa muda mrefu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/eac-na-sadc-zatangaza-hatua-mpya-za-kutafuta-amani-mashariki-mwa-drc/7968331.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/eac-na-sadc-zatangaza-hatua-mpya-za-kutafuta-amani-mashariki-mwa-drc/7968331.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 09 Feb 2025 08:27:15 +0300</pubDate>
            <category>Tanzania</category><category>Afrika</category><category>Kenya</category><category>Uganda</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><category>Burundi</category><category>Rwanda</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/82e84ab2-90da-455e-8047-45dba3e0a7e0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Viongozi wa SADC na EAC wakutana Tanzania kujadili mzozo wa DRC</title>
            <description>Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na mwenzake wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, walishiriki mkutano wa Jumamosi, Tanzania, ambapo viongozi wa kikanda walitoa mwito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano nchini DRC.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/viongozi-wa-sadc-na-eac-wakutana-tanzania-kujadili-mzozo-wa-drc/7968021.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/viongozi-wa-sadc-na-eac-wakutana-tanzania-kujadili-mzozo-wa-drc/7968021.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 08 Feb 2025 22:37:29 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Tanzania</category><category>Kenya</category><category>Uganda</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><category>Burundi</category><category>Rwanda</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f286b68f-8887-451d-bd58-b9ce7fb1a0c4_cx0_cy6_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Zaidi ya  maafisa wa polisi 100 wa Kenya wawasili Haiti</title>
            <description>Zaidi ya maafisa wa polisi 100 wa Kenya waliwasili katika mji mkuu wa Haiti Alhamisi kuimarisha juhudi za kurejesha usalama za kikosi cha kimataifa ambacho mustakabali wake unatishiwa  na hatua ya  Marekani ya kusitisha sehemu ya ufadhili wake kwa kikosi hicho.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/zaidi-ya-polisi-wa-kenya-100-wawasili-haiti/7966177.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/zaidi-ya-polisi-wa-kenya-100-wawasili-haiti/7966177.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 07 Feb 2025 06:42:50 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (Reuters)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/17e5adea-9099-4b6b-92a4-a0253faa424a_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Marekani yasitisha ufadhili wake kwa kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini Haiti</title>
            <description>Marekani imeufahamisha rasmi Umoja wa Mataifa kwamba imesitisha  ufadhili wake kwa kikosi kinachoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambacho kilikuwa na jukumu la kupambana na magenge yanayojaribu kudhibiti mji mkuu wa Haiti, Umoja wa Mataifa ulisema Jumanne.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/marekani-yasitisha-ufadhili-wake-kwa-kikosi-cha-umoja-wa-mataifa-nchini-haiti/7963495.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/marekani-yasitisha-ufadhili-wake-kwa-kikosi-cha-umoja-wa-mataifa-nchini-haiti/7963495.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 05 Feb 2025 08:20:13 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (AP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/1760934a-f107-4824-9217-03e9f9d8152d_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Jumuia ya Afrika Mashariki yaiomba DRC kuzungumza na waasi wa M23</title>
            <description>Jumuia ya Afrika Mashariki Jumatano imeitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuzungumza na “wadau wote”, wakiwemo wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, ili kumaliza mapigano katika eneo la mashariki mwa nchi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/jumuia-ya-afrika-mashariki-yaiomba-drc-kuzungumza-na-waasi-wa-m23/7956473.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/jumuia-ya-afrika-mashariki-yaiomba-drc-kuzungumza-na-waasi-wa-m23/7956473.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 30 Jan 2025 06:43:28 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Tanzania</category><category>Kenya</category><category>Uganda</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><category>Burundi</category><category>Rwanda</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/8d41eacd-0151-44c2-a063-4b02c8f60a6c_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wakuu wa nchi na serikali za Kiafrika wakutana Nairobi kujadili masuala ya AU</title>
            <description>Wakuu wa Nchi na serikali 5 za Afrika wamekutana jijini Nairobi Jumatatu kujadilia  marekebisho ya kitaasisi ya Umoja wa Afrika, AU, na kukubaliana kuhusu haja ya kuharakisha mageuzi ya kuwezesha AU kutekeleza vipaumbele vyake bila kutegemea fedha za kigeni.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wakuu-wa-nchi-na-serikali-za-kiafrika-wakutana-nairobi-kujadili-kuhusu-au/7952689.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wakuu-wa-nchi-na-serikali-za-kiafrika-wakutana-nairobi-kujadili-kuhusu-au/7952689.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 28 Jan 2025 05:16:36 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/cca7ca6f-be3e-4e84-a640-74b94bdc2585_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maria Sarungi azungumzia jaribio la kutekwa nyara Kenya </title>
            <description>Mwanahabari na mwanaharakati Maria Sarungi hatimaye amevunja ukimya kufuatia jaribio la kumteka nyara siku ya jumapili Nairobi, Kenya</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/maria-sarungi-azungumzi-jaribio-la-kutekwa-nyara-kenya-/7935243.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/maria-sarungi-azungumzi-jaribio-la-kutekwa-nyara-kenya-/7935243.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 14 Jan 2025 01:20:03 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Wanawake</category><category>Tanzania</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/def58118-fe95-4b4d-ac3d-43583e647997_cx0_cy46_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais Ruto akiri mapungufu ya vikosi vya usalama</title>
            <description>Rais wa Kenya, William Ruto, Jumanne amekiri ukiukaji unaofanywa na vikosi vya usalama vya Kenya, kufuatia maandamano dhidi ya wimbi la karibuni la tuhuma za  utekaji ambalo limezua ghadhabu nchini humo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7920692.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7920692.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 01 Jan 2025 06:34:40 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/cca7ca6f-be3e-4e84-a640-74b94bdc2585_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ruto aahidi kukomesha vitendo vya utekaji nyara</title>
            <description>Rais wa Kenya William Ruto ameahidi kukomesha vitendo vya utekaji nyara ambavyo vimeongezeka siku za hivi karibuni na kulaaniwa na makundi ya kutetea haki za binadamu, wanasheria na wanasiasa.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ruto-aahidi-kukomesha-vitendo-vya-utekaji-nyara/7917005.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ruto-aahidi-kukomesha-vitendo-vya-utekaji-nyara/7917005.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 28 Dec 2024 19:14:18 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (AFP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/cca7ca6f-be3e-4e84-a640-74b94bdc2585_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Watoto 27 wazaliwa Nairobi siku ya Krismasi.
</title>
            <description>Watoto 27 wamezaliwa hospitali nchini Kenya  siku ya Krismas. Kati ya watoto hao,  kumi ni wa kiume na 17 ni wa kike. Watoto hao walizaliwa na wanawake walio kati ya umri wa miaka 16 hadi 37.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/watoto-27-wazaliwa-hospitalini-kenya-siku-ya-krisimasi-/7913669.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/watoto-27-wazaliwa-hospitalini-kenya-siku-ya-krisimasi-/7913669.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 25 Dec 2024 20:25:31 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/7e91013d-852b-4bae-8d60-91813d396a57_cx0_cy5_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kiongozi wa upinzani Uganda Besigye akamatwa Kenya </title>
            <description>Mwanasiasa maarufu wa upinzani wa Uganda alikamatwa wakati wa uzinduzi wa kitabu nchini Kenya mwishoni mwa wiki  na kusafirishwa hadi Uganda, anashikiliwa katika jela ya  kijeshi mjini Kampala, mke wake amesema leo katika mtandao wa kijamii wa X.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kiongozi-wa-upinzani-uganda-besigye-akamatwa-kenya-/7870657.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kiongozi-wa-upinzani-uganda-besigye-akamatwa-kenya-/7870657.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 20 Nov 2024 18:20:39 +0300</pubDate>
            <category>Kenya</category><category>Uganda</category><author> voadigital@voanews.com (Reuters)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/51d06085-946c-4064-8b76-0bbff00e6620_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Huldah mzaliwa wa kwanza wa Kenya kujiunga na bunge la Minnesota</title>
            <description>Huldah Momanyi Hiltsley aliweka historia hapo Novemba 5 alipokua mhamiaji wa kwanza mzaliwa wa Kenya kuchaguliwa mbunge wa jimbo la Minnesota. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/huldah-mzaliwa-wa-kwanza-wa-kenya-kujiunga-na-bunge-la-minnesota/7860638.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/huldah-mzaliwa-wa-kwanza-wa-kenya-kujiunga-na-bunge-la-minnesota/7860638.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 12 Nov 2024 07:32:38 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Marekani</category><category>Wanawake</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/9a054295-c724-409f-bfc4-a0e7a3a25a9c_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya yapiga hatua muhimu kuelekea kupata mkopo wa IMF</title>
            <description>Halmashauri ya Utendaji ya Shirika la Fedha Duniani, IMF imeidhinisha tathmini ya 7 na ya 8 ya programu ya Kenya, hatua ambayo IMF imesema itafungua njia kuelekea kupata mkopo wa dola milioni 606.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yapiga-hatua-muhimu-kuelekea-kupata-mkopo-wa-imf/7845789.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yapiga-hatua-muhimu-kuelekea-kupata-mkopo-wa-imf/7845789.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 31 Oct 2024 05:26:25 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (Reuters)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ec898339-5401-4102-b517-d6a9681513ae_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais Ruto akutana na Mkurugenzi wa CIA</title>
            <description>Rais wa Kenya Dr. William Ruto amekutana na mkurugenzi wa idara ya ujasusi ya Marekani CIA William Burns katika kikao ambacho kilihudhuriwa na mkuu wa ujasusi wa Kenya Noordin Haji.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-ruto-akutana-na-mkurugenzi-wa-cia/7843400.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-ruto-akutana-na-mkurugenzi-wa-cia/7843400.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 29 Oct 2024 18:28:58 +0300</pubDate>
            <category>Kenya</category><author> voadigital@voanews.com (AP)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/9da8e2ec-8f85-46ae-8b10-fd5464bc0596_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mtu mmoja kati ya kumi Kenya amewahi kuugua maradhi ya akili</title>
            <description>Je, unafahamu namna ya kusaidia watu wenye kukata tamaa, kutokana na ulemavu au maradhi ya akili.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mtu-mmoja-kati-ya-kumi-kenya-amewahi-kuugua-maradhi-ya-akili/7832475.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mtu-mmoja-kati-ya-kumi-kenya-amewahi-kuugua-maradhi-ya-akili/7832475.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 22 Oct 2024 18:47:53 +0300</pubDate>
            <category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/6f06e491-e42a-4b31-bd4e-f736e78a4053_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya yasema  imewakabidhi wakimbizi wanne raia wa Uturuki baada ya kukubali ombi la nchi yao  </title>
            <description>Kenya ilisema Jumatatu imewakabidhi wakimbizi wanne raia wa Uturuki baada ya kukubali ombi la Ankara la  kutawaka warejeshwe nchini kwao </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yasema-imewakabidhi-wakimbizi-wanne-raia-wa-uturuki-baada-ya-kukubali-ombi-la-nchi-yao-/7831253.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kenya-yasema-imewakabidhi-wakimbizi-wanne-raia-wa-uturuki-baada-ya-kukubali-ombi-la-nchi-yao-/7831253.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 22 Oct 2024 05:39:27 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/bb9d2622-a6f4-42da-839e-f539958eb6fe_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mahakama Kenya yaamua kesi ya Gachagua iendelee</title>
            <description>Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gashagua atakabiliana na Seneti katika  kesi ya kutaka kuondolewa madarakani, baada ya mahakama ya juu mjini Nairobi, Kenya kukataa kutoa maagizo ya kuizuia Seneti kuendelea na mjadala.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mahakama-kenya-yaamua-kesi-ya-gachagua-iendelee/7822987.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mahakama-kenya-yaamua-kesi-ya-gachagua-iendelee/7822987.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 15 Oct 2024 17:37:19 +0300</pubDate>
            <category>Kenya</category><category>Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (Reuters)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/fbc1e3ec-37bb-49b7-ae39-6e543f460217_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>