<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Sauti - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/2773</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Sauti - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/2773</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:32:58 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/zb_krl-vomx-tpeqr-q" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Kenya yalaumiwa kwa kuruhusu RSF kukutana Nairobi</title>
            <description>Serikali ya Kenya imkosolewa na mkuu wa jeshi la Sudan na baadhi ya wakosowaji wa nchi hiyo kwa kudai imefanya kitendo cha uhalifu wa kutowajibika kwa kuwaruhusu waasi wa kundi la wanamgambo wa Sudan RSF kukutana Nairobi na kupanga kutangaza serikali ya uhamishoni. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7981033.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7981033.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 19 Feb 2025 23:44:17 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/6b52071d-ad9a-4f64-b69b-dd494e43efe2_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>REPORT SIKU 16 ZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.mp3</title>
            <description>Dunia ikiadhimisha siku 16 za uanaharakati, mashirika ya asasi za kijamii Kenya yameungana na wengine duniani kupinga ukatili wa kijinsia na mauaji ya wanawake ambayo yameshamiri na kuzua hofu miongoni mwa wanawake kenya.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/report-siku-16-za-kuzuia-ukatili-wa-kijinsia-mp3/7876194.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/report-siku-16-za-kuzuia-ukatili-wa-kijinsia-mp3/7876194.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 25 Nov 2024 19:52:02 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category>
        </item>		
        <item>
            <title>Biden na Trump watafuta kura za wanawake</title>
            <description>Wapiga kura wanawake ni zaidi ya nusu ya wapigakura wote hapa Marekani na katika uchaguzi wa mwaka 2024 kura zao zimekua muhimu kwa wagombea kiti cha rais hawa kutokana na suala la utuaji mimba na haki za uzazi. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7630269.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7630269.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 28 May 2024 21:39:22 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>Uchaguzi Marekani 2024</category><category>Marekani</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/e941b9d0-8e3c-4f82-b6e9-df285dd99b32_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rwanda yaunda mkakati mpya wa ajira kwa vijana</title>
            <description>Rwanda yaweka mkakati mpya wa ajira kwa vijana unaoambatana na mwelekeo wa dunia wenye  mfumo wa teknologia katika kutoa huduma mbalimbali. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rwanda-yaunda-mkakati-mpya-wa-ajira-kwa-vijana/7593900.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rwanda-yaunda-mkakati-mpya-wa-ajira-kwa-vijana/7593900.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 01 May 2024 21:51:29 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Sauti</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-0e97-08dc6a0edea4_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Hatimaye suluhisho la mzozo kati ya wakulima na wafugaji lapatikana Nigeria</title>
            <description>
Ukame, ardhi kugeuka jangwa, ukataji miti na mabadiliko ya hali ya hewa Kaskazini mwa Nigeria yamewalazimisha wafugaji kuhamia kusini wakitafuta maeneo ya malisho kwa mifugo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/hatimaye-suluhisho-la-mzozo-kati-ya-wakulima-na-wafugaji-lapatikana-nigeria/7526079.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/hatimaye-suluhisho-la-mzozo-kati-ya-wakulima-na-wafugaji-lapatikana-nigeria/7526079.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 13 Mar 2024 19:49:01 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category>
        </item>		
        <item>
            <title>Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano</title>
            <description>Mchambuzi wa masuala ya kiuchumi, Charles Karisa anasema kwamba ziara ya rais Andrzej Duda wa Poland nchini Kenya ni muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na biashara kati ya nchi hizo mbili. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7471936.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7471936.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 05 Feb 2024 22:46:31 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a60b2bb4-07d3-4d94-b7a1-dd8b5a21fcc8_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Moise Katumbi afanya kampeni ya uchaguzi Bukavu</title>
            <description>Kampeni ya uchaguzi ikiwa imefikia wiki yapili Nchini DRC, Mgombea Moise Katumbi amewasili mjini Bukavu kujieleza mbele ya wakazi.

</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/moise-katumbi-afanya-kampeni-ya-uchaguzi-bukavu/7404046.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/moise-katumbi-afanya-kampeni-ya-uchaguzi-bukavu/7404046.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 19 Dec 2023 19:06:32 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>Uchaguzi DRC 2023</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-8041-08db41cd8f5e_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Matarajio ya Vijana kuhusu uchaguzi Congo</title>
            <description>Kundi la vijana nchini Congo kwa ujumla linaelezewa kuwa linatumika katika harakati mbali mbali za uchaguzi ikiwemo kampeni na masuala mengine ambayo inadaiwa kutumia iwe kwa nia njema au kwa sababu za kuwaridhisha wale ambao wanawatumia. 

</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/matarajio-ya-vijana-kuhusu-uchaguzi-congo-mp3/7404045.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/matarajio-ya-vijana-kuhusu-uchaguzi-congo-mp3/7404045.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 19 Dec 2023 18:55:45 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category>
        </item>		
        <item>
            <title>Kampeni za wabunge DRC na kero lililojitokeza kwa baadhi ya watu</title>
            <description>Kumesalia siku 9 pekee kabla ya wapiga kura wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kwenda kuwachagua wabunge wakitaifa, majimbo pamoja na kumchagua raisi mpya. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-za-wabunge-drc-na-kero-lililojitokeza-kwa-baadhi-ya-watu/7404041.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-za-wabunge-drc-na-kero-lililojitokeza-kwa-baadhi-ya-watu/7404041.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 19 Dec 2023 18:47:42 +0300</pubDate>
            <category>Uchaguzi DRC 2023</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Sauti</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/1abf5c2e-7469-4d61-ad5e-416832aaef58_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kampeni na ushindani uliopo DRC </title>
            <description>Siku chache kabla mwisho wa kampeni za uchaguzi, bado hali ya ushindani inaendelea Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, DRC, huku kukiwa  na mivutano mikubwa kati ya wagombea.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-na-ushindani-uliopo-drc-/7404043.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kampeni-na-ushindani-uliopo-drc-/7404043.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 19 Dec 2023 18:37:08 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>VOA Direct Packages</category>
        </item>		
        <item>
            <title>Mukwege aelezea kuhusu Mpango wake endapo atachaguliwa</title>
            <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inatazamiwa kufanya uchaguzi wa rais Desemba 20, Sikiliza mpango wa mmoja wa wagombea Mukwege endapo atachaguliwa.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mukwege-aelezea-kuhusu-mpango-wake-endapo-atachaguliwa/7404047.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mukwege-aelezea-kuhusu-mpango-wake-endapo-atachaguliwa/7404047.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 19 Dec 2023 17:56:00 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>Uchaguzi DRC 2023</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5d9f4613-a996-4561-a8bb-954f968cb0f7_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Binti Shupavu, mradi unaowasaidia wasichana kujiamini. </title>
            <description>Binti Shupavu ni mradi wa kuwawezesha wasichana kujiamini na kufanikiwa katika masomo yao nchini Kenya</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7334080.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7334080.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 Nov 2023 09:42:46 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>Vijana</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-5248-08dbdc377a6e_cx0_cy3_cw100_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Balozi wa Tanzania nchini Israel aeleza kuhusu watanzania waliopotea</title>
            <description></description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/balozi-wa-tanzania-nchini-israel-aeleza-kuhusu-watanzania-waliopotea/7303313.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/balozi-wa-tanzania-nchini-israel-aeleza-kuhusu-watanzania-waliopotea/7303313.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 09 Oct 2023 22:02:57 +0300</pubDate>
            <category>VOA Direct Packages</category><category>Sauti</category>
        </item>		
        <item>
            <title>MAHOJIANO: Mchambuzi Amin Mwidau aangazia vita vilivyozuka kati ya Israeli na Hamas.mp3</title>
            <description></description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mahojiano-mchambuzi-amin-mwidau-aangazia-vita-vilivyozuka-kati-ya-israeli-na-hamas-mp3/7302674.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mahojiano-mchambuzi-amin-mwidau-aangazia-vita-vilivyozuka-kati-ya-israeli-na-hamas-mp3/7302674.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 09 Oct 2023 13:51:48 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/89c0e284-3bb7-4f95-97ea-dc88dc9ac7ba_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Vita kati ya Israeli na Hamas vyaingia siku ya pili.mp3</title>
            <description></description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/vita-kati-ya-israeli-na-hamas-vyaingia-siku-ya-pili-mp3/7302668.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/vita-kati-ya-israeli-na-hamas-vyaingia-siku-ya-pili-mp3/7302668.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 09 Oct 2023 13:47:52 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/16cd5060-81f8-4297-a022-f3b6d38b298d_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Amin Mwidau azungumzia mdahalo wa pili wa wagombea kiti cha rais wa chama cha Republican</title>
            <description>Wagombea saba wa chama cha Republican wanaopigania nafasi ya kukiwakilisha chama chao katika uchaguzi wa rais wa 2024, wazungumzia masuala ya uhamiaji, China na uchumi, lakini wakati mwingi walikua wakibishana vikali.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7288264.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7288264.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 28 Sep 2023 08:55:53 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/fc314464-2564-43ff-a07e-187e30c491fb_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>MKUTANO WA COMESA.mp3</title>
            <description></description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7268919.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7268919.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 15 Sep 2023 00:24:03 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category>
        </item>		
        <item>
            <title>JARIDA LA WIKI JULY 29 2023

</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia mkutano kati ya rais wa Russia Vladimir Putin na viongozi wa nchi za Afrika, mapinduzi nchini Niger na Maandamano nchini Israel.
Mtayarishaji na msimulizi wa kipindi ni Kennes Bwire</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/jarida-la-wiki-july-29-2023-/7202144.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/jarida-la-wiki-july-29-2023-/7202144.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 28 Jul 2023 18:38:14 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Mkutano wa Viongozi wa Marekani na Afrika</category><category>Rwanda</category><category>Burundi</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><category>Uganda</category><category>Kenya</category><category>Tanzania</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Makala Maalum</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>Amerika leo</category><category>Mahojiano</category><category>Amerika Leo </category><category>Dunia</category><category>Marekani</category><category>Afrika</category><category>Sauti</category><author> voadigital@voanews.com (Kennes Bwire)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5341b857-1636-4e7a-937f-dc39f8c66d7c_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>KWA UNDANI JULY 26 2023: Mkutano wa Putin na Marais wa nchi za Afrika nchini Russia

</title>
            <description>Viongozi wa Afrika wanaanza mkutano wao na rais wa Russia Vladmir Putin, nchini Russia lakini chini ya nusu ya marais wa Afrika wanahudhuria mkutano huo wakisema wanastahili kuakilishwa na mwenyekiti wa umoja wa Afrika hatua ambayo Russia inadai inachochewa na nchi za magharibi.

</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kwa-undani-july-26-2023-mkutano-wa-putin-na-marais-wa-nchi-za-afrika-nchini-russia-/7199331.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kwa-undani-july-26-2023-mkutano-wa-putin-na-marais-wa-nchi-za-afrika-nchini-russia-/7199331.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 26 Jul 2023 23:09:40 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Kwa Undani</category><category>Rwanda</category><category>Burundi</category><category>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo</category><category>Uganda</category><category>Kenya</category><category>Tanzania</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Makala Maalum</category><category>Amerika Leo </category><category>Alfajiri</category><category>Jioni</category><category>Dunia</category><category>Marekani</category><category>Afrika</category><category>Sauti</category><author> voadigital@voanews.com (Kennes Bwire)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c8b452e6-91ee-46db-986a-d23790b7f305_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mahojiano na Hassan Ali</title>
            <description> Dunia inapoadhimisha siku ya Kiswahili,  Mwandishi Hassan Ali amekua kwa miaka mingi anafunza Kiswahili kupitia matangazo na mafundisho yake yanaambatana na matumizi ya maneno yenye ucheshi ili kuwavutia wasikilizaji wake kutumia Kiswahili sanifu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7171163.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7171163.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 07 Jul 2023 16:55:35 +0300</pubDate>
            <category>Sauti</category><category>Siku ya Kiswahili</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-dbd6-08db7efde4f8_cx0_cy24_cw100_w800_h450.jpeg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>