<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Matukio ya Afrika - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/3100</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Matukio ya Afrika - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/3100</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Mon, 20 Apr 2026 11:33:30 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/z_kgpl-vomx-tpevpbm" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Matukio makuu Afrika 2024</title>
            <description>Mwaka 2024 ulishuhudia kuongezeka kwa shughuli za kisiasa barani Afrika, vyama vilivyotawala kwa muda mrefu vikipitia mtihani mkubwa kushinda uchaguzi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/matukio-makuu-afrika-2024/7911567.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/matukio-makuu-afrika-2024/7911567.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 23 Dec 2024 22:25:52 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>Matukio Muhimu 2024</category><author> voadigital@voanews.com (Kennes Bwire)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/AB251511-AF7B-43CB-9419-FD8029151EEA_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mwanahabari wa Eritrea aliyefungwa jela apewa tuzo ya Sweden ya Edelstam</title>
            <description>Mwanahabari wa Sweden mwenye asili ya Eritrea ambaye amekuwa kizuizini Eritrea bila mawasiliano kwa zaidi ya miaka 23 Jumatatu amepewa tuzo ya Sweden ya Haki za binadamu kutokana na juhudi zake za kupigania haki ya kijieleza, jopo la tuzo hiyo limesema.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mwanahabari-wa-eritrea-aliyefungwa-jela-apewa-tuzo-ya-sweden/7860615.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mwanahabari-wa-eritrea-aliyefungwa-jela-apewa-tuzo-ya-sweden/7860615.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 12 Nov 2024 05:42:48 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/AD1B7427-BCC1-4E7C-99D1-D61F230E23B6_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mauritius imefanya uchaguzi wa bunge</title>
            <description>Nchi hiyo yenye watu milioni 1.3 inajitangaza yenyewe kama kiungo kati ya Afrika na Asia.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mauritius-imefanya-uchaguzi-wa-bunge/7858937.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mauritius-imefanya-uchaguzi-wa-bunge/7858937.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 10 Nov 2024 21:30:52 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Marekani</category><category>Dunia</category><category>Matukio ya Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/65D041E9-38F7-4545-BAB8-9CBDF565B95F_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wataalamu waeleza changamoto zinazokabili usindikaji vyakula Afrika </title>
            <description>Ripoti mpya ya wataalamu wa kilimo inasema mchakato wa usindikaji vyakula vibichi na kuwa bidhaa zilizokamilika umekuwa ni kawaida mno barani humo, lakini ukosefu wa ujuzi wa kiteknolojia, ufadhili na vifaa, pamoja na vikwazo vya biashara, vinadumaza maendeleo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wataalamu-waeleza-changamoto-zinazokabili-usindikaji-vyakula-afrika-/7764073.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wataalamu-waeleza-changamoto-zinazokabili-usindikaji-vyakula-afrika-/7764073.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 29 Aug 2024 19:15:54 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2671A037-02FC-4B45-8476-D825A916BD45_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wakulima Kenya wadai Mbolea za Kemikali zadhoofisha ardhi</title>
            <description>Wakulima barani Afrika wanasema ardhi yao inadhoofika kutokana na mbolea yenye kemikali. Huku uzalishaji ukishuka kutokana na ardhi hiyo duni, watalaamu wanashauri kurejea katika mbinu za kiasili za kilimo ili kurejesha ubora wa ardhi na uzalishaji.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wakulima-kenya-wadai-mbolea-za-kemikali-zathoofisha-aridhi/7718463.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wakulima-kenya-wadai-mbolea-za-kemikali-zathoofisha-aridhi/7718463.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 30 Jul 2024 17:07:12 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-3464-08dcb09e9084_cx0_cy10_cw0_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tume huru ya uchaguzi Tanzania yaanza kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura </title>
            <description>Tume huru ya uchaguzi Tanzania wiki hii inaanza kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura huku vuguvugu la kuelekea katika uchaguzi mkuu mwakani na wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu likianza kupanda miongoni mwa vyama vya siasa. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tume-huru-ya-uchaguzi-tanzania-yaanza-kuboresha-daftari-la-kudumu-la-wapiga-kura-/7703737.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tume-huru-ya-uchaguzi-tanzania-yaanza-kuboresha-daftari-la-kudumu-la-wapiga-kura-/7703737.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 18 Jul 2024 22:27:17 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-6865-08dc559ac63a_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kiwango cha wawekezaji wa nje kimeshuka Afrika </title>
            <description>Afrika haikuvutia sana uwekezaji wa kigeni mwaka jana na makubaliano ya kifedha yalishuka kwa asilimia 50 mpaka dola bilioni 64, kwa mujibu wa ripoti mpya.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/kiwango-cha-wawakezaji-wa-nje-kimeshuka-afrika-/7682566.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/kiwango-cha-wawakezaji-wa-nje-kimeshuka-afrika-/7682566.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 06 Jul 2024 01:28:50 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-3ae6-08dc9ac7e2b1_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tanzania yaombwa kuweka mikakati ya kujifunza Kiswahili</title>
            <description>Wasomi na wadau wa Kiswahili nchini Tanzania wanasema mamlaka zinapaswa kuweka mkakati maalum wa kutumia Kiswahili katika nyanja zote za kiuchumi na kielimu ili kuboresha maarifa ya wananchi kwa kuwafundisha kwa lugha wanayoielewa.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mamlaka-tanzania-zatakiwa-kuweka-nikakati-maalumu-ya-kujifunza-kiswahili/7685101.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mamlaka-tanzania-zatakiwa-kuweka-nikakati-maalumu-ya-kujifunza-kiswahili/7685101.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 04 Jul 2024 19:02:27 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-e003-08dc9c38b535_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Botwana yadaiwa kutowapa fursa wanawake kushiriki katika jukwaa la kisiasa </title>
            <description>Vyama vya siasa vimekamilisha orodha yao ya wagombea wao wa uchaguzi mkuu wa 2024 uliopangwa kufanyika Oktoba na wagombea wengi ni wanaume.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/botwana-yadaiwa-kutowapa-nafasi-wanawake-kushiriki-katika-jukwaa-la-kisiasa-/7623945.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/botwana-yadaiwa-kutowapa-nafasi-wanawake-kushiriki-katika-jukwaa-la-kisiasa-/7623945.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 23 May 2024 17:16:08 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Matukio ya Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-25ad-08dc7b3169cd_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya yaomboleza vifo baada ya mafuriko na inajaribu kujijenga tena</title>
            <description>Huku idadi ya vifo ikikaribia 240 na takriban watu 235,000 wakiwa hawana makazi, Wakenya wanaomboleza kuwapoteza wapendwa wao na kujaribu kujijenga tena baada ya wiki za mvua kubwa ambazo zimesababisha mafuriko mabaya sana na maporomoko ya ardhi.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7608970.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7608970.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 13 May 2024 16:56:43 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/caf2d176-49ec-4076-a0cb-77bb76cc0d30_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Hatimaye suluhisho la mzozo kati ya wakulima na wafugaji lapatikana Nigeria</title>
            <description>Kwa miaka kadhaa wadau wa kilimo nchini Nigeria wamekuwa wakitafuta suluhisho kwa mzozo kati ya wakulima na wafugaji.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/hatimaye-suluhisho-la-mzozo-kati-ya-wakulima-na-wafugaji-lapatikana-nigeria/7526065.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/hatimaye-suluhisho-la-mzozo-kati-ya-wakulima-na-wafugaji-lapatikana-nigeria/7526065.html</guid>            
            <pubDate>Wed, 13 Mar 2024 19:06:32 +0300</pubDate>
            <category>Dunia</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-5dfd-08dbb982b0b3_w800_h450.jpeg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Kenya: Makampuni yageukia teknolojia ya AI, hofu yazuka soko la matangazo</title>
            <description>Makampuni katika taifa la Afrika Mashariki, Kenya yanayokabiliwa na changamoto, yanageukia katika teknolojia ya  Artificial Intelligence maarufu kama AI ili kupunguza gharama za uzalishaji na matangazo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7499364.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7499364.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 23 Feb 2024 07:05:59 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>Habari</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ecd46b89-7c5c-4e1c-868d-54ed0d8823f9_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Uzalishaji chakula ni suluhisho kwa ukosefu wa ajira kwa vijana  - Ripoti</title>
            <description>Watalaamu katika kilimo, uhandisi, teknolojia, lishe na usalama wa chakula wamezindua ripoti ya kurasa 140 nchini Uganda wiki hii, wakiangalia changamoto zinazowakabili vijana wa kiafrika na elimu na ujuzi unaohitajika kwa ajili ya ajira katika sekta ya agrifood.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/uzalishaji-chakula-ni-suluhisho-kwa-ukosefu-wa-ajira-kwa-vijana---ripoti/7488796.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/uzalishaji-chakula-ni-suluhisho-kwa-ukosefu-wa-ajira-kwa-vijana---ripoti/7488796.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 15 Feb 2024 20:40:41 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><author> voadigital@voanews.com (VOA News)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/05b7fd80-1893-42a7-a762-446446366c61_cx0_cy4_cw91_w800_h450.png" length="0" type="image/png"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Sudan: Watoto wakiume na wanaume  walengwa na wanamgambo wa Kiarabu</title>
            <description>Mauaji yanayofanyika katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan yanaendelea kutanda huku watoto wa kiume, na wanaume wakiwa walengwa wakuu kulingana na madai ya kina mama.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/sudan-watoto-wakiume-na-wanaume-walengwa-na-wanamgambo-wa-kiarabu/7426591.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/sudan-watoto-wakiume-na-wanaume-walengwa-na-wanamgambo-wa-kiarabu/7426591.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 04 Jan 2024 18:59:11 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-a85a-08dc088e0b85_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Chama cha Conservative Uingereza chahitalafiana juu ya mpango wake wa kisheria kwa Rwanda</title>
            <description>Migawanyiko imeibuka katika chama cha Conservative juu ya mpango wake wa kisheria  kwa Rwanda, kabla ya kuchapishwa kwake.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/chama-cha-conservative-uingereza-chahitalafiana-juu-ya-mpango-wake-wa-kisheria-kwa-rwanda/7389342.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/chama-cha-conservative-uingereza-chahitalafiana-juu-ya-mpango-wake-wa-kisheria-kwa-rwanda/7389342.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 08 Dec 2023 05:29:12 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Rwanda</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-71ae-08dbf5c8c9fe_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mfalme Charles  aeleza masikitiko na huzuni zake kwa waliofanyiwa Wakenya wakati wa kupambana na ukoloni</title>
            <description>Mfalme Charles  wa Uingereza amesema amejihisi ana “masikitiko makubwa sana na huzuni” kwa ukatili waliofanyiwa Wakenya wakati wa mapambano yao ya kudai uhuru kutoka wa utawala wa kikoloni wa Uingereza.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7339096.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7339096.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 02 Nov 2023 21:02:30 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><category>Kenya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-d618-08dbdb6e47fb_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Sudan yagubikwa na mzozo  wa wakimbizi wa ndani unaoikabili dunia</title>
            <description>Taifa la Sudan barani Afrika limegubikwa na  mzozo mkubwa sana wa wakimbizi wa ndani duniani.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/sudan-yagubikwa-na-mzozo-mkubwa-sana-wa-wakimbizi-wa-ndani-duniani/7328331.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/sudan-yagubikwa-na-mzozo-mkubwa-sana-wa-wakimbizi-wa-ndani-duniani/7328331.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 27 Oct 2023 03:08:00 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>Habari</category><category>Afrika</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-8199-08db9dc2a98c_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>UN: Somalia kuwasilisha maombi ya msaada zaidi wa kimataifa kukabiliana na wanamgambo wa al-Shabab</title>
            <description>Waziri Mkuu wa Somalia Hamza Abdi Barre alisema Alhamisi kuwa serikali yake inaomba msaada zaidi wa kimataifa katika vita vyake vya muda mrefu dhidi ya wanamgambo  wa al-Shabab.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/un-somalia-kuwasilisha-maombi-ya-msaada-zaidi-wa-kimataifa-kukabiliana-na-wanamgambo-wa-al-shabab/7278476.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/un-somalia-kuwasilisha-maombi-ya-msaada-zaidi-wa-kimataifa-kukabiliana-na-wanamgambo-wa-al-shabab/7278476.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 21 Sep 2023 21:34:48 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>Mkutano wa baraza kuu la UN</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-6061-08dbbabbdfa4_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wakazi wa Morocco wasema tetemeko kubwa lililopiga limeonyesha ustahmilivu na ari ya watu</title>
            <description>Uharibifu uliosababishwa na tetemeko kubwa la ardhi kupiga nchini Morocco katika kipindi cha zaidi ya karne moja limekuwa na athari kubwa. Lakini wakazi wanasema pia limeonyesha ustahmilivu na ari ya watu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wakazi-wa-morocco-wanasema-tetemeko-kubwa-lililopiga-limeonyesha-ustahamilivu-na-ari-ya-watu/7268345.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wakazi-wa-morocco-wanasema-tetemeko-kubwa-lililopiga-limeonyesha-ustahamilivu-na-ari-ya-watu/7268345.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 14 Sep 2023 18:16:14 +0300</pubDate>
            <category>Habari</category><category>Afrika</category><category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-e4f1-08dbb3e066b3_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>UN yaeleza mgogoro wa Sudan unasambaa kwa kasi na umevuka viwango vya kawaida</title>
            <description>Umoja wa Mataifa unaeleza kuwa mgogoro wa Sudan ambao unasambaa kwa kasi – ikwemo balaa la njaa, maradhi na ukosefu wa  makazi unaashiria hivi sasa ni tishio la kuiangamiza nchi nzima.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/un-yaeleza-mgogoro-wa-sudan-unasambaa-kwa-kasi-na-umevuka-viwango-vya-kawaida/7242915.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/un-yaeleza-mgogoro-wa-sudan-unasambaa-kwa-kasi-na-umevuka-viwango-vya-kawaida/7242915.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 27 Aug 2023 05:31:42 +0300</pubDate>
            <category>Matukio ya Afrika</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5cf6e8a0-1eb7-4a99-a466-8f8c2da9badd_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>