<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Washington  Bureau - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/4700</link>
        <description>Watch Washington Bureau for weekly news, analysis, and politics from Washington, D.C. and America in Kiswahili at voaswahili.com/washington-bureau.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Washington  Bureau - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/4700</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:31:25 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/z_boqql-vomx-tpevvmqi" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Movie ya Nigeria ya Over the Bridge yashamiri</title>
            <description>Baadhi ya tuliokuandalia  wiki hii, ni pamoja na Producer wa movie za Nollywood Tosin Oteduko, anayezungumzia movie yake mpya ya Over the Bridge, iliotia fora sana.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/movie-ya-nigeria-ya-over-the-bridge-yashamiri/7549981.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/movie-ya-nigeria-ya-over-the-bridge-yashamiri/7549981.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 30 Mar 2024 18:41:48 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-956f-08dc50ca294e_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani atishiwa kuondolewa madarakani kutokana na mzozo wa wahamiaji</title>
            <description>Wiki hii tunaangalia mjadala mkubwa kwenye bunge la Marekani kuhusiana na mzozo wa wahamiaji kwenye mpaka wa kusini, ambao umepelekea baadhi ya wajumbe wa Repablikan kutishia kuitisha kura ya kutokuwa na imani na waziri Usalama wa Ndani Alejandro Maryokas.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/waziri-wa-usalama-wa-ndani-wa-marekani-atishiwa-kuondolewa-madarakani-kutokana-na-mzozo-wa-wahamiaji/7469365.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/waziri-wa-usalama-wa-ndani-wa-marekani-atishiwa-kuondolewa-madarakani-kutokana-na-mzozo-wa-wahamiaji/7469365.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 03 Feb 2024 06:05:28 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0a00-0242-5efb-08dc2463a9a7_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wabunge wa Repablikan wa Marekani walenga kumuondoa kazini waziri wa Usalama wa Ndani</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia wabunge wa Repablikan kwenye baraza la wawakilishi la Marekani ambao Jumatano wamezindua harakati za kumshtaki kumuondoa madarakani afisa wa ngazi ya juu kwenye utawala wa  Rais  Joe Biden.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wabunge-wa-repablikan-wa-marekani-walenga-kumuondoa-kazini-waziri-wa-usalama-wa-ndani/7438406.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wabunge-wa-repablikan-wa-marekani-walenga-kumuondoa-kazini-waziri-wa-usalama-wa-ndani/7438406.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 13 Jan 2024 04:43:54 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-e227-08dc13d81b5b_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maine yasema Trump hatokuwa kwenye orodha ya wagombea urais</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia masaibu ya kisiasa yanayoendelea kukumba Donald Trump baada ya jimbo la Maine kusema kwamba jina lake halitakuwa kwenye orodha ya wagombea urais wa Marekani, ikiwa hatua sawa na Colorado.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7427809.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7427809.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 05 Jan 2024 15:55:27 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-2981-08dc0dec0592_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Matatizo ya kisheria dhidi ya Trump yaendelea kujitokeza</title>
            <description>Wiki hii tunangalia masaibu ya kisheria yanayomkabili rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, wakati anapojikakamua kuwania urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2024.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/matatizo-ya-kisheria-dhidi-ya-trump-yaendelea-kujitokeza/7408336.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/matatizo-ya-kisheria-dhidi-ya-trump-yaendelea-kujitokeza/7408336.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 22 Dec 2023 05:49:45 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-7255-08dc0296b249_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais wa Ukraine ashinikiza msaada zaidi wa kijeshi mbele ya wabunge wa Marekani</title>
            <description>Wiki hii rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy na mwenzake wa Marekani Joe Biden walijaribu kusihi wabunge wa Marekani kuidhinisha msaada wa dola bilioni 61 kwa Ukraine, wakati taifa hilo likiendelea kukabiliana na uvamizi wa Russia. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-ukraine-ashinikiza-msaada-zaidi-wa-kijeshi-mbele-ya-wabunge-wa-marekani/7399121.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-ukraine-ashinikiza-msaada-zaidi-wa-kijeshi-mbele-ya-wabunge-wa-marekani/7399121.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 15 Dec 2023 06:01:57 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-f6d0-08dbfd18be18_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wafanyakazi wa kujitolea wafika Washington ili kurembesha Ikulu kwa ajili ya siku kuu.</title>
            <description>Wiki hii kwenye Washington Bureau, tunaangazia tukio la kila mwaka hapa Marekani ambapo maelfu ya watu kutoka kila sehemu ya nchi hujitolea ili kuirembesha Ikulu ya Marekani kwa ajili ya msimu wa Krismasi.  </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wafanyakazi-wa-kujitolea-wafika-washington-ili-kurembesha-ikulu-kwa-ajili-ya-siku-kuu-/7379822.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wafanyakazi-wa-kujitolea-wafika-washington-ili-kurembesha-ikulu-kwa-ajili-ya-siku-kuu-/7379822.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 01 Dec 2023 07:24:47 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-5903-08dbf22337ea_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Sherehe za siku kuu ya Thanksgiving</title>
            <description>Wiki tungaanzia shamra shamra za sherehe za siku kuu ya Thanksgiving, ambayo huadhimisha Alhamisi ya mwisho ya Novemba kila mwaka hapa Marekani.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/sherehe-za-siku-kuu-ya-thanksgiving/7367691.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/sherehe-za-siku-kuu-ya-thanksgiving/7367691.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 23 Nov 2023 22:41:35 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-70e4-08dbec5a6c0a_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mkutano wa Marekani kati ya Joe Biden na Xi Jingping</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia Rais wa Marekani Joe Biden na mwenzake wa China Xi Jingping ambao Jumatano wamefanya kikao nje kidogo ya mji wa San Francisco, California pembeni mwa mkutano wa viongozi wa Asia waliokuwa kwenye kongamano lao la kila mwaka la APEC. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mkutano-wa-marekani-kati-ya-joe-biden-na-xi-jingping/7359495.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mkutano-wa-marekani-kati-ya-joe-biden-na-xi-jingping/7359495.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Nov 2023 19:59:02 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-d130-08dbe78d4d33_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Wapiga kura wa Ohio, Kentucky pamoja na majimbo mengine kadhaa washiriki kwenye uchaguzi wa Jumanne.</title>
            <description>Wiki hii wademokrat pamoja na wanaharakati wa haki za utoaji mimba hapa Marekani wamepiga hatua kupitia ushindi kwenye uchaguzi katika majimbo kadhaa yakiwemo yale ya kikonsavative ya Ohio na Kentucky.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/wapiga-kura-wa-ohio-kentucky-pamoja-na-majimbo-mengine-kadhaa-washiriki-kwenye-uchaguzi-wa-jumanne-/7351030.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/wapiga-kura-wa-ohio-kentucky-pamoja-na-majimbo-mengine-kadhaa-washiriki-kwenye-uchaguzi-wa-jumanne-/7351030.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 11 Nov 2023 19:49:38 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-bb7a-08dbe2d452a0_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>New York yakabiliwa na tatizo la wahamiaji</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia suala la wahamiaji, wakati mji wa New York ukiendelea kupokea zaidi ya wahamiaji 10,000 kila mwezi, na kuzua wasi wasi miongoni mwa wakazi, kuhusu uwezo wa mji huo  kumudu wimbi hilo. 

</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/new-york-yakabiliwa-na-tatizo-la-wahamiaji/7340332.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/new-york-yakabiliwa-na-tatizo-la-wahamiaji/7340332.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 Nov 2023 17:53:13 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-c0a8-0242-9c29-08dbdc7ae650_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mawakili wa zamani wa Donald Trump watoa ushahidi dhidi yake mahakamani.</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ambaye anakabiliwa na kesi nyingi baadhi zikiwa ni kutokana na biashara zake, huku nyingine zikiwa za tuhuma za udanganyifu kwenye uchaguzi, wakati baadhi ya wanaotoa ushahidi wakiwa mawakili wake wa zamani. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7330441.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7330441.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 28 Oct 2023 02:57:50 +0300</pubDate>
            <category>VOA Direct Packages</category><category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-d6c7-08dbd745a406_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ziara ya Biden ya Israel ya kujaribu kutuliza mzozo kati ya Israel na Hamas</title>
            <description>Wiki hii tunaangazia mzozo wa Mashariki ya Kati, rais wa Marekani Joe Biden akiwa amerejea Alhamisi asubuhi kwenye uwanja wa ndege wa kijeshi wa Andrews karibu na Washington DC, baada ya ziara fupi nchini Isreal. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ziara-ya-biden-ya-israel-ya-kujaribu-kutuliza-mzozo-kati-ya-israel-na-hamas/7319326.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ziara-ya-biden-ya-israel-ya-kujaribu-kutuliza-mzozo-kati-ya-israel-na-hamas/7319326.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 20 Oct 2023 17:17:42 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-314b-08dbd1761fd7_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mchakato wa kutafuta Spika mpya wa Baraza la wawakilishi la Marekani waendelea kuwa kizungumkuti</title>
            <description>Wiki hii tunaendelea kufuatilia mchakato wa kutafuta Spika mpya wa Baraza la wawakilishi la Marekani. Wajumbe wa Repablikan kwenye baraza hilo wamekutana Alhamisi kujaribu kusuluhisha migawanyiko iliyopo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7310285.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7310285.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 14 Oct 2023 02:02:55 +0300</pubDate>
            <category>VOA Direct Packages</category><category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-7f2b-08dbcc3f24ae_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Baraza la wawakilishi la Marekani kubaki bila Spika kwa siku kadhaa baada ya kuondolewa kwa McCarthy</title>
            <description>Wiki hii kwenye Washington Bureau, tunaangazia baraza la wawakilishi la Marekani ambalo limejikuta  kwenye hali tete, na huenda lisiwe na kiongozi kwa takriban wiki moja kufuatia kuondolewa kwa spika Kevin McCarthy. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7300087.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7300087.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 06 Oct 2023 21:27:10 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-f761-08dbc6984474_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Malumbano makali yashuhudiwa kwenye mdahalo wa pili wa uteuzi wa Rais wa Repablikan</title>
            <description>Wiki hii tunaangalia mdahalo wa pili wa wagombea uteuzi wa urais kwenye chama cha Repablikan, uliofanyikia Simi Valley, California usiku wa Jumatano, wakati rais wa zamani Donald Trump akisusia tena.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/malumbano-makali-yashuhudiwa-kwenye-mdahalo-wa-pili-wa-uteuzi-wa-rais-wa-repablikan/7290196.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/malumbano-makali-yashuhudiwa-kwenye-mdahalo-wa-pili-wa-uteuzi-wa-rais-wa-repablikan/7290196.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 29 Sep 2023 18:08:47 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-dca2-08dbc0fbc9bb_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Marekani yaonya kuhusu uwezekano wa ushirikiano wa kijeshi kati ya Russia na Korea Kaskazini</title>
            <description>Wiki hii kwenye Washington Bureau,tungaalia suala ambapo Marekani imeonya kuwa mkutano kati ya kiongozi wa Korea Kaskazini  Kim Jong Un, na Rais wa Russia Vladimir Putin  uliofanyikia Russia huenda ukapelekea makubaliano ya  silaha kwa kwa ajili ya vita vya Moscow dhidi ya Ukraine.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/marekani-yaonya-kuhusu-uwezekano-wa-ushirikiano-wa-kijeshi-kati-ya-russia-na-korea-kaskazini/7269406.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/marekani-yaonya-kuhusu-uwezekano-wa-ushirikiano-wa-kijeshi-kati-ya-russia-na-korea-kaskazini/7269406.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 15 Sep 2023 05:49:44 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-543a-08dbb594829c_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais Biden ahudhuria mkutano wa G20 nchini India</title>
            <description></description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7260282.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7260282.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 08 Sep 2023 21:09:19 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-8f90-08dbb0967f4e_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais wa Marekani Joe Biden ahudhuria mkutano wa G20 mjini New Delhi, India</title>
            <description>Wiki hii kwenye Washington Bureau tunaangazia ziara ya Rais wa Marekani Joe Biden nchini India, kwa mkutano wa viongozi kutoka kundi la mataifa tajiri na yaliyoendelea kiviwanda ulimwenguni la G20.  </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-marekani-joe-biden-ahudhuria-mkutano-wa-g20-mjini-new-delhi-india/7259423.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-wa-marekani-joe-biden-ahudhuria-mkutano-wa-g20-mjini-new-delhi-india/7259423.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 08 Sep 2023 05:27:12 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-e56d-08dbb0122603_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Shughuli za uokozi zaendelea Hawaii baada ya mkasa wa moto</title>
            <description>Wiki hii kwenye Washington Bureau tunaangazia mkasa wa moto kwenye kisiwa cha Hawaii cha Maui na ambao kulingana na ripoti za karibuni kutoka kwa gavana Josh Green umeua zaidi ya watu 110 na kufanya uharibifu mkubwa, wakati wataalam wa akili akitumwa ili kusaidia manusura.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/shughuli-za-uokozi-zaendelea-hawaii-baada-ya-mkasa-wa-moto/7230292.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/shughuli-za-uokozi-zaendelea-hawaii-baada-ya-mkasa-wa-moto/7230292.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 18 Aug 2023 06:06:17 +0300</pubDate>
            <category>Washington  Bureau</category><category>VOA Direct Packages</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/01000000-0aff-0242-f98b-08db9f954616_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>