<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">     
    <channel>      
        <title>Video - Voice of America</title>     
        <link>https://www.voaswahili.com/z/3148</link>
        <description>Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description>
        <image>
            <url>https://www.voaswahili.com/Content/responsive/VOA/sw/img/logo.png</url>
            <title>Video - Voice of America</title>
            <link>https://www.voaswahili.com/z/3148</link>
        </image>
        <language>sw</language>
        <copyright>2026 - VOA</copyright>   
        <ttl>60</ttl>        
        <lastBuildDate>Thu, 16 Apr 2026 11:32:57 +0300</lastBuildDate> 
        <generator>Pangea CMS – VOA</generator>        
        <atom:link href="https://www.voaswahili.com/api/z_-gvl-vomx-tpevybv" rel="self" type="application/rss+xml" />
    		<item>
            <title>Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya</title>
            <description>Wanawake wanaowalea watoto walemavu katika jamii za kipato cha chini wanakabiliwa na changamoto nyingi ambazo zinatatiza uwezo wao wa kushughulikia watoto hao.


Changamoto hizo zinataabisha wanawake kimawazo, na kihisia wanapotengwa na jamii huku matatizo hayo yakiishia kuwadhuru watoto walemavu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/8010455.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/8010455.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 14 Mar 2025 06:38:34 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/71f9d5d2-aef0-44ab-34d8-08dd5c897904_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Rais Donald Trump akihutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Marekani</title>
            <description>Rais wa Marekani Donald Trump akihutubia saa tatu usiku (saa za Marekani), au saa 0200UTC(Machi 5)  kikao cha pamoja cha Bunge la Marekani ambapo anaorodhesha mipango ya uongozi wake, ikiwemo jinsi ya kuleta amani Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki.
</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/rais-donald-trump-akihutubia-kikao-cha-pamoja-cha-bunge-la-marekani/8004097.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/rais-donald-trump-akihutubia-kikao-cha-pamoja-cha-bunge-la-marekani/8004097.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 09 Mar 2025 07:40:47 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/607daa86-29ad-43f6-097c-08dd5c8d307c_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao</title>
            <description>Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amefanya ziara ya saa kadhaa mjini Mogadishu siku ya Alhamisi, kwa lengo la kuimarisha makubaliano dhaifu ya maridhiano kati ya nchi hizo mbili kufuatia ugomvi juu ya ushirikiano wake na jimbo lililojitenga la Somaliland.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7990667.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7990667.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 27 Feb 2025 23:28:01 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Matukio ya Dunia</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/6f6364f8-9d6e-45a0-903c-08dd4a843460_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo</title>
            <description>Magonjwa ya moyo yanaongoza katika sababu kuu za vifo duniani kote kama ilivyoripotiwa na Shirika la Afya Duniani-WHO. Takribani asilimia 32 ya vifo duniani katika mwaka 2019 vilitokana na magonjwa ya moyo. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7987722.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7987722.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 25 Feb 2025 22:17:24 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5941c0b3-5a64-4eb8-0175-08dd4a817621_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ugonjwa wa maumivu ya mifupa ni sababu mojawapo inayopelekea ulemavu kwa binadamu. </title>
            <description>Arthritis ni kundi la magonjwa yanayosababisha uvimbe, maumivu, na viungo vya mwili kukakamaa na kufanya iwe vigumu kwa mtu kutembea au kujishughulisha na kazi za aina yeyote. Ni moja ya sababu kuu za maumivu na ulemavu duniani kote. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-maumivu-ya-mifupa-ni-sababu-mojawapo-inayopelekea-ulemavu-kwa-binadamu-/7975485.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-maumivu-ya-mifupa-ni-sababu-mojawapo-inayopelekea-ulemavu-kwa-binadamu-/7975485.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 14 Feb 2025 22:44:36 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/ad5472f0-00b0-4154-f808-08dd4a817620_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii. </title>
            <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu milioni 50 duniani wanaugua ugonjwa wa kifafa na takribani asilimia 80 kati yao wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini na cha kati ambapo kuna upatikanaji mdogo wa dawa. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-kifafa-na-changamoto-zake-katika-jamii-/7967002.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/ugonjwa-wa-kifafa-na-changamoto-zake-katika-jamii-/7967002.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 07 Feb 2025 22:14:24 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/c5a01169-e00c-476b-8b82-6b2b48a4eea9_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika tatizo la seli zinazokua nje ya kizazi cha mwanamke.</title>
            <description>Shirika la Afya Duniani-WHO linasema Endometriosis huathiri wanawake milioni 190 wenye umri wa kuzaa duniani kote. Hali hii inaweza kuanza wakati wa hedhi ya kwanza ya msichana na inadumu hadi ukomo wa hedhi. Inaelezwa uelewa kuhusu Endometriosis bado ni mdogo barani Afrika. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7958641.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7958641.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 31 Jan 2025 22:10:00 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/48bbd795-0d04-4d1b-b056-7bf42f2d1130_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika mashujaa wasiosikika katika utoaji huduma za afya kwa
wazee.
</title>
            <description>Walezi ni watu wanatoa huduma za moja kwa moja kwa wengine ikijumuisha wazee, watoto, au wagonjwa. Wanajukumu muhimu katika huduma za afya lakini hawapewi umuhimu ipasavyo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7951644.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7951644.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 27 Jan 2025 17:28:53 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/f9495fcd-6fb5-4f7e-9ca9-53e76d9f98ca_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mamia ya watu wakijaribu kutoka DRC kwenda Rwanda kuepuka mapigano</title>
            <description>Mamia ya watu walikuwa wanajaribi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenda Rwanda siku ya Jumapili, huku wapigano makazi yakiendelea kote katika mji muhimu wa Mahsariki mwa Congo wa Goma, kilometa chache kutoka mstari wa mbele.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mamia-ya-watu-wakijaribu-kutoka-drc-kwenda-rwanda-kuepuka-mapigano/7950808.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mamia-ya-watu-wakijaribu-kutoka-drc-kwenda-rwanda-kuepuka-mapigano/7950808.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 26 Jan 2025 20:06:50 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/407502f9-f743-4d38-9722-802faab265d2_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Maandamano ya People&apos;s March mjini Washington.</title>
            <description>Maelfu ya waandamanaji washiriki katika maandamano ya People&apos;s March 2025</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7942130.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7942130.html</guid>            
            <pubDate>Sun, 19 Jan 2025 05:00:03 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><author> voadigital@voanews.com (Abdushakur Aboud)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/459cae2c-d008-4e2a-ab7e-e94cf258a677_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mzigo wa magonjwa yanayochochewa na virusi barani Afrika.</title>
            <description>Maambukizi ya virusi ni suala linaloleta wasiwasi duniani. Kulingana na ripoti za Shirika la Afya Duniani maambukizi yaliyopo kama vile COVID-19 yanaongezeka mara kwa mara huku kukiwa na changamoto zinazoendelea kama vile HIV na homa ya ini hasa katika nchi za kipato cha chini na cha kati.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mzigo-wa-magonjwa-yanayochochewa-na-virusi-barani-afrika-/7940888.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mzigo-wa-magonjwa-yanayochochewa-na-virusi-barani-afrika-/7940888.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 17 Jan 2025 22:34:56 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/b8a2b1ca-6288-4eab-b410-db43d7738a64_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Netanyahu asema wanaahirisha kwa muda kuidhinisha makubaliano ya Gaza</title>
            <description>Mashambulio ya Israel yamendelea kufanyika katika ukanda wa Gaza Alhamisi licha ya kutangazwa makubaliano ya kusitisha mapigano na kuachiliwa kwa mateka na wafungwa wa Kipalestina. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7939595.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7939595.html</guid>            
            <pubDate>Thu, 16 Jan 2025 23:55:41 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><author> voadigital@voanews.com (VOA Swahili)</author><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2cbb53b2-9186-4675-b245-b48ee82dc9fc_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mazoezi yanavyoimarisha afya ya mwili pamoja na umri</title>
            <description>Wataalamu wa afya wanasema mazoezi ya kimwili ni moja ya maazimio maarufu ya mwaka mpya kwa kila mtu, kwani jamii inalenga kuboresha afya na ustawi wake. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7923696.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7923696.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 03 Jan 2025 23:43:34 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/223d350e-714c-434e-9fc4-6e2c3780c1d8_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tutamulika ufahamu kuhusu faida za kicheko  kwa ustawi wako wa afya.</title>
            <description>Wataalam wa afya wanasema kicheko kina jukumu muhimu katika kuimarisha afya yako. Kicheko kinaimarisha mfumo wako wa kinga, kinaongeza hisia, kinapunguza maumivu, na kinakulinda kutokana na athari mbaya za msongo wa mawazo.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7916361.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7916361.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 27 Dec 2024 23:14:15 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/566c472b-e1ba-4927-bc9f-4abe263cbe58_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunamulika athari za kunywa pombe kupita kiasi wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka. </title>
            <description>Huu ni msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka ambazo zinaambatana na safari kutoka eneo moja Kwenda jingine. Lakini jambo muhimu ni kuangalia afya zetu, ikijumuisha mlo, vinywaji baridi na pombe tunazokunywa kwa wakati huo tunapojumuika na wapendwa wetu, wana familia, na marafiki. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7911132.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7911132.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 23 Dec 2024 17:22:01 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/5d4ad281-310e-42c8-b247-2f0d9c3b204b_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Makundi ya haki yanafurahia mahakama maalum ya uhalifu  wa Gambia</title>
            <description>Makundi kadhaa ya kutetea haki za binadam nchini Gambia yame karibisha uwamuzi wa Jumuia ya Uchumi ya nchi za Afrika Magharibi ECOWAS kwa kuunga mkono kuundwa kwa mahakama maalum kuhukumu uhalifu ulotendwa wakati wa utawala wa kimabavu wa Yahya Jammeh. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/7904646.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/7904646.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 17 Dec 2024 21:47:03 +0300</pubDate>
            <category>Afrika</category><category>Video</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/df60067c-3831-46a7-8e6b-d2dc8d34b07c_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mapambano yanayoendelea dhidi ya HIV na Ukimwi kuelekea malengo ya UN mwaka 2030.</title>
            <description>Kwa mujibu wa UNAIDS watu milioni 39 duniani wanaishi na HIV na zaidi ya milioni 29 wanatumia dawa ya kupunguza makali ya HIV. Hata hivyo watu milioni 9.2 bado hawana uwezo wa kupata matibabu. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mapambano-yanayoendelea-dhidi-ya-hiv-na-ukimwi-kuelekea-malengo-ya-un-mwaka-2030-/7896292.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mapambano-yanayoendelea-dhidi-ya-hiv-na-ukimwi-kuelekea-malengo-ya-un-mwaka-2030-/7896292.html</guid>            
            <pubDate>Tue, 10 Dec 2024 21:20:19 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/a32d162b-f6e5-4aa3-b08a-ef2f4976fe7b_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Tunaangazia jinsi harakati za uchaguzi zinavyoweza kuathiri afya ya binadamu na ustawi wake.</title>
            <description>Wataalamu wa afya wanasema wakati uchaguzi unapofanyika mahala popote duniani unaweza kuchangia kwa nafasi kubwa katika tatizo la afya ya akili na msongo wa mawazo miongoni mwa watu.</description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/tunaangazia-jinsi-harakati-za-uchaguzi-zinavyoweza-kuathiri-afya-ya-binadamu-na-ustawi-wake-/7881775.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/tunaangazia-jinsi-harakati-za-uchaguzi-zinavyoweza-kuathiri-afya-ya-binadamu-na-ustawi-wake-/7881775.html</guid>            
            <pubDate>Fri, 29 Nov 2024 22:24:14 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/34da60e4-ab9f-4ba5-9abd-c07d561ddba7_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Mwanamuziki Chris Stapleton atwaa tuzo 4 za muziki wa Country </title>
            <description>Mwanamuziki Chris Stapleton atwaa tuzo 4 za muziki wa Country na mwanamuziki chipukizi wa Country na Pop Morgan Wallen atwaa tuzo ya mburudishaji bora wa mwaka </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/mwanamuizki-chris-stapleton-atwaa-tuzo-4-za-muziki-wa-country-/7874653.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/mwanamuizki-chris-stapleton-atwaa-tuzo-4-za-muziki-wa-country-/7874653.html</guid>            
            <pubDate>Sat, 23 Nov 2024 21:16:44 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Zulia Jekundu</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/2d0d7628-5826-40ba-95fc-4e5a63b110f3_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        <item>
            <title>Je unafahamu ugonjwa wa LUPUS unasababishwa na nini na dalili zake zikoje?</title>
            <description>Lupus ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa kinga ya mwili ambao unasababisha mwili kushambulia tishu pamoja na viungo vyake. Ugonjwa huu sugu husababisha mwili kuvimba. </description>
            <link>https://www.voaswahili.com/a/je-unafahamu-ugonjwa-wa-lupus-unasababishwa-na-nini-na-dalili-zake-zikoje-/7868248.html</link> 
            <guid>https://www.voaswahili.com/a/je-unafahamu-ugonjwa-wa-lupus-unasababishwa-na-nini-na-dalili-zake-zikoje-/7868248.html</guid>            
            <pubDate>Mon, 18 Nov 2024 22:41:22 +0300</pubDate>
            <category>Video</category><category>Maisha na Afya</category><enclosure url="https://gdb.voanews.com/55f9a465-41ab-4506-8a5c-1b0dd92d3b40_tv_w800_h450.jpg" length="0" type="image/jpeg"/>
        </item>		
        </channel></rss>