Hofu ya usalama DRC kufuatia Mzozo Burundi

Fireworks explode over the Olympic flame during the closing ceremony of the 2018 Winter Olympics in Pyeongchang, South Korea, Feb. 25, 2018.

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya congo imesema ina wasiwasi kwamba machafuko yanayoendelea nchini Burundi huenda yakaathiri hali ya usalama nchini Congo, hususan katika eneo la
Kivu kusini, ambako wakimbizi kuroka Burundi wanaendelea kuwasili.

Your browser doesn’t support HTML5

DRC YAKUMBWA NA WASIWASI

Wakati huo huo, bunge la DRC limesema limeshangazwa na ripoti kwamba baadhi ya wale wanaotekeleza mashambulizi nchini Burundi wamepatikana wakiwa na vitambulisho vilivyopeanwa na Tume ya Uchaguzi ya Congo. Mwandishi wa Sauti ya Amerika Austere Malivika ana ripoti kamili. Bonyeza kwenye media player ili usikilize taarifa hiyo.