Tetemeko La Ardhi Lapiga Uturuki lauwa 20
Your browser doesn’t support HTML5
Tetemeko lenye nguvu la ardhi limeua watu 20 na kujeruhi zaidi ya watu 1,000 mashariki mwa Uturuki, Ijumaa, wakati timu za waokoaji zikiendelea kutafuta walionusurika katika kifusi Jumamosi.