Watu milioni 2.3 wanakufa kutokana na magonjwa na ajali makazini

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya usalama, shirika la maswala ya kazi limekadiria watu patao millioni 2.3 wanakufa na ajali ama magonjwa yanayotokana na kazi.