Azali Assoumani ashinda uchaguzi Comoros wenye utata

Your browser doesn’t support HTML5

Rais Azali Assoumani amechaguliwa tena kuongoza kisiwa cha Comoros katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni. Licha ya uchaguzi huo kuwa na utata rais Azali awataka wananchi wa Comoros kumuunga mkono.