Kenyatta ameonya vikali dhidi ya wanaohujuma vita dhidi ya ufisadi
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Uhuru Kenyatta ameonya vikali dhidi ya wanaohujuma vita dhidi ya ufisadi nchini kenya na kuonya maafisa wa serikali kuu na wale wa majimbo wanaofuja mali na raslimali ya umma.