Umoja wa mataifa wapinga adhabu ya kifo kwa waliomuuwa Khashoggi

Your browser doesn’t support HTML5

Umoja wa mataifa umesema unapinga adhabu ya kifo kwa watuhumia wa kifo cha mwandishi wa Washington Post Jamal Khashoggi aliyeuliwa ndani ya ubalozi wa Saudia Arabia nchini Uturuki.