Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 01:03

WHO yasema watu takriban asilimia 50 hawapati huduma za matibabu wanazozihitaji


WHO yasema watu takriban asilimia 50 hawapati huduma za matibabu wanazozihitaji
please wait

No media source currently available

0:00 0:15:00 0:00

Utafiti unaonyesha watu takriban asilimia 50 duniani hawapati huduma za matibabu wanazozihitaji, wakati huo huo watu milioni 100 wanaingia katika umaskini kutokana na gharama za matibabu. Ungana na Mwandishi wetu akikuletea kwa undani kuhusu matatizo haya...

XS
SM
MD
LG